• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

ACHANGIA BEBERU, JOGOO NA MAHINDI KUFANIKISHA UJENZI WA KITUO CHA AFYA

Posted on: May 10th, 2018

Mweyekiti wa mtsaafu wa kijiji cha Kasenga  kata ya Kasenga Bw. Damiani Mlengela emechangia Mbuzi, Jogoo na Gunia la Mahindi kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa kituo cha Afya cha kata hiyo.

Mwenyekiti huyo alitoa mchango huo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Geita mhandisi Robert Gabriel aliyefika kijijini hapo kushirikiana na wananchi kuchimba msingi wa ujenzi wa  Kituo cha Afya cha kata hiyo.

“Tangu nizaliwe sijawahi kupata fursa kama hii ya kuchangia shughuli za maendeleo… hivi vitu hata mimi nikifa watoto wangu watachangia ili mradi jengo likamilike” alisema kwa msisistizo Bwana Damiani

Michango mingine iliyopatikana kwenye zoezi lililoongozwa na Mkuu wa Mkoa ni pamoja na mifuko ya saruji 172, Fedha Taslimu shilingi 130,000,  Vyakula na mafuta ya kupikia.

Mkuu wa Mkoa wa Geita mhandisi Robert Gabriel amewataka wananchi hao kujitoa ili kujenga kituo cha Afya cha kata hiyo ili badae kisaidie jamii ya eneo hilo. ”Mkiwa na kituo cha afya hapa Kasenga hata mauaji ya kishirikina yatakwisha, mauaji ya kishirikina yanatokana na imani potofu hasa pale kunapokuwa hakuna kituo cha afya cha kuweza kutibu wananchi ” alisema Mkuu wa Mkoa wa Geita.

Wakati huo huo Mkuu wa Mkoa wa Geita amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kutoa mikopo ya mfuko wa wanawake na vijana bila kubagua mahali vikundi hivyo vilipo. Amesema kumekuwa na tabia ya baadhi ya Halmashauri kutoa mikopo kwa vikundi vilivyopo mijini na kuviacha vikundi vilivyopo vijijini.

Diwani wa Kata ya Kasenga mhe. Damian Zilahiye amempongeza Mkuuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel kwa kazi ya kuhamasisha na kushiriki na wananchi kujenga vituo vya afya na Zahanati. Amemshukuru pia kwa kuweza kufika na kuwafariji  pamoja na kutoa msaada wa fedha taslimu shilingi milioni moja  wakati kata hiyo ilipokumbwa na mvua kali zilizombatana na upepo mapema mwezi huu na kusababisha familia kadhaa za kata hiyo kukosa mahali pa kuishi.

Wilaya ya Chato ina jumla ya vijiji 115 mpaka sasa kuna Hospitali moja, zahanati 24 na vituo vya afya 3 vinavyofanya kazi. Majengo mbalimbali ya zahanati na vituo vya afya  68 yapo kwenye hatua mbalimbali za ujenzi.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.