• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

ACHENI KUFUGA MIFUGO KWA MAZOEA DC KATWALE CHATO

Posted on: May 12th, 2023

Akiongea na Wananchi hao Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato Eng. Deusdedith Katwale amewataka wafugaji kuachana na tabia ya kufuga mifugo mingi na isiyonatija bali kufuga mifugo michache na ambayo mfugaji mwenyewe utanufaika nayo.


Aidha ameongeza Mhe. Katwale kwa kusema "mifugo hii tunayofuga ilete chachu na kubadili hali ya maisha yetu katika jamii zetu na Serikali kwa ujumla na siyo kuwa chanzo cha kuleta migogoro na uhasama katika maeneo yetu"  mfano Nchi kama ya Namibia ina ng'ombe elfu  4 tu lakini ni nchi ya pili Africa kwa kusafirisha Nyama ikiongozwa na Botswana lakini je tujiulize sisi kama wana Iparamasa na taifa kwa ujumla ukiambiwa utafute ng'ombe elfu 4 si unawapata ndani ya Mkoa mmoja au pengine hata wilaya moja tu! sasa hao ng'ombe wote wana tija gani kwa wana Iparamasa na taifa kwa ujumla.


Katika hatua ingine Mhe. Katwale amewapongeza wananchi wa Kata ya Iparamasa kwa namna ambavyo wamekuwa msitari wa mbele  katika kusimamia miradi ya Serikali mfano Ujenzi wa Madarasa katika Shule, Ujenzi wa Miundombinu katika vituo vyetu vya kutolea Afya na Miradi ya Maji.


Kwa upande wake Mhe. Diwani wa Kata hiyo amemshukuru Mkuu wa wilaya kwa kukubali na kuitikia wito na kufika katka kijiji cha Ipalamasa kwa ajili ya kuja kutembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo ndani ya Kata, hata hivyo Mhe Diwani amemwomba Mhe. Katwale kuona umhimu wa kuanza kutoa huduma katika kituo cha Afya Ipalamasa.


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Kilimo na Mifugo Ndg. Edgar Kimaria akiongea na wananchi wa Iparamasa kwa nyakati tofauti kabla ya uzinduzi wa Josho hilo amewakumbusha wakulima umhimu wa kutumia mbolea ya samadi ili kuendelea kurutubisha ardhi kwa ajili ya shughuli za kilimo kwani ardhi hii imelimwa miaka mingi hivyo kuna baadhi ya virutubisho vimeanza kupungua sasa niombe " achaneni na tabia ya kuchoma samadi hiyo bali pelekeni shambani kwani ni mbolea inayopatikana bila gharama katika maeneo yetu na sisi kama wana Iparamasa kwa takwimu ni kata ambayo inaongoza kwa kuwa na mifugo mingi hivyo hata samadi upatikanaji wake ni wa kutosha"


Akihitimisha shughuli hiyo Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Iparamasa amemshukuru sana Mhe Mkuu wa wilaya kwaniaba ya wananchi kwa kukubari wito wa kuja kuwafungulia Josho hilo hata hivyo amemuomba asisite kufika katika kijiji chao mara na wakati mwingine watakapo mwita.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.