• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

AFISA AFYA CHATO ASISITIZA UMHIMU WA KUWA NA VYOO BORA KATIKA JAMII

Posted on: May 16th, 2023

Afisa Afya wilaya ya Chato Bi Fransisca Charles ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Usafishaji na Taka Ngumu amewasisitiza watendaji wa Kata, Vijiji, Ma Afisa Afya na Wahudumu wa Afya ngazi ya Kata na Vijiji kuhakikisha wanakuwa msitari wa mbele katika kuhakikisha Chato  inakuwa safi na yenye vyoo bora kitu ambacho kitaifanya Chato kung'ara na kuonekana katika mkoa na taifa kwa ujumla.


Aidha akiongea na washiriki wa kikao hicho kutoka katika kata za Mganza, Bwongera, Nyamirembe, Chato Muungano, Katende, Ichwankima, Kigongo na Bukome Bi. Fransisca amekipongeza kijiji cha Mlimani kwa kufanya vizuri miaka miwili mfululizo hasa katika utoaji wa takwimu sahihi na uwepo wa vyoo bora pamoja na kuwa na mazingira safi.


" vyoo bora ndugu zangu ndio msingi wa kulinda jamii zetu dhidi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, kuhara na kutapika"


Afisa Maendeleo ya Jamii Ndg. Tagaya akiwawasilisha mada ya uandaaji wa Mpango kazi ngazi ya Kata juu ya uwasilishaji wa Taarifa kwa asilimia 100 na ufatiliaji na ujenzi wa vyoo bora katika kata angalau asilimia 50 kufikia tarehe 1 Julai 2023


Washiriki wakiwasilisha Mipango kazi waliyoiandaa juu ya utelelezaji wa Mradi wa WASH ambao unahusika na uboresha wa vyoo bora katika vituo vya kutolea huduma za Afya walau asilimia 50 na utoaji wa taarifa asilimia 100 ifikapo Julai 1, 2023 wameahidi kwenda kuusimamia mipango hiyo waliyojiwekea katika kata ili kuleta tija na  matokeo chanya kwa  Halmashauri na taifa kwa ujumla dhidi ya mapambano ya magonjwa ya mlipuko yatokanayo na uchafuzi wa mazingira.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.