• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

*ASKARI WA JESHI LA AKIBA WAASWA KULINDA AMANI NA UTULIVU UCHAGUZI MKUU 2025

Posted on: September 19th, 2025


Askari wa Jeshi la akiba  kutoka kata zote 23 za majimbo ya Chato Kusini na Kaskazini wanaotarajiwa kusimamia zoezi zima la uwepo wa amani na usalama wa vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 29, 2025, walipewa mafunzo ya maadili pamoja na uelewa mpana dhidi ya Uchaguzi huo ili kuhakikisha zoezi hilo linafanyika kwa kufuata kanuni, sheria na taratibu zilizowekwa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi huku amani na utulivu vikipewa kipaumbele.


Mafunzo hayo ya siku 2 yalifanyika Septemba 18 - 19, 2025 kwa kupita kitarafa yakiongozwa na Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Geita ACP Nestory Didi aliyeambatana na viongozi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Chato,Polisi kata wote wa tarafa husika pamoja na Maafisa wasaidizi wa Uchaguzi  ngazi ya Jimbo Ndg. Philip George wa Jimbo la Chato Kaskazini na Ndg. Berino Msigwa wa Jimbo la Chato Kusini waliotoa Semina elekezi kwa askari hao wa Jeshi la akiba juu ya masuala ya Uchaguzi Mkuu 2025.


ACP Didi aliwataka askari hao  kutumia zaidi busara wakati wakutatua changamoto zitakazojitokeza, Kudumisha amani ya ndani na nje ya eneo la kupigia kura, kutovaa nguo za Chama au picha ya Mgombea, kuwa na maadili mema kazini, Kusimamia zoezi la kuhesabu kura, Kusindikiza masanduku ya kupigia kura kwenda kwenye vituo vya kuhesabia kura,Kuhakikisha usalama wa vituo, usalama wa wagombea pamoja na kusimamia ulinzi na usalama wa wasimamizi wa Uchaguzi wakati na baada ya kutangaza matokeo huku akiwakumbusha muda wa mwisho Kupiga Kura ni saa 10.00 Alasiri ukifika muda huo akae nyuma ya mpiga kura wa mwisho na asiwepo wakufuata.


Kwa upande wake Msimamizi msaidizi wa Uchaguzi Jimbo la Chato Kaskazini Ndg.Philip George alisema kuwa mpangilio wa kituo cha kupigia kura kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi Mkuu Namba 01 ya 2024,pamoja na kanuni za Uchaguzi Mkuu 2025,Askari anayesimamia uchaguzi anaweza kupiga kura popote atakapo kuwa anasimamia zoezi hilo tofauti na alipojiandikishia ikiwa ametembea na kitambulisho chake cha mpiga kura.


Ndg.George aliongeza kuwa katika zoezi hilo wazee, wajawazito na walemavu wapewe kipaumbelej

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI YA HUDUMA YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA VIKUNDI

    October 01, 2025
  • DC BURA AFUNGUA ZAHANATI YA NYARUTUTU

    September 30, 2025
  • MHE. BURA AAGIZA UWEZESHAJI KWA WAJASIRIAMALI ILI KUSHINDANA KIMATAIFA

    September 25, 2025
  • KAMISHNA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MAANDALIZI YA UCHAGUZI - CHATO

    September 22, 2025
  • View All

Video

MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 WILAYANI CHATO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.