• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

BANDA LA CHATO LAPENDEZESHA MAONESHO YA 8'8 NYAMHONGOLO MWANZA

Posted on: August 7th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Chato ni miongoni mwa Wilaya zilizoshiriki kikamilifu maonesho ya nane nane 2025 ambayo katika kanda ya ziwa Magharibi yanafanyika viwanja vya Nyamhongolo Jijini Mwanza huku yakizidi kupamba moto katika banda la wilaya hiyo kutokana na wananchi kujitokeza kwa wingi kupata elimu, kununua bidhaa na kupokea ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo, mifugo na uvuvi kutoka kwa wataalamu waliobobea.

Akizungumza katika maonesho hayo Afisa kilimo, Mifugo na uvuvi (W) Ndg Geriad Mgoba amesema kuwa bidhaa / Huduma zinazopatikana katika banda la Halmashauri hiyo ni elimu kwa vitendo  kuhusu kilimo chenye tija, Teknolojia ya uvuvi endelevu ikiwa ni pamoja na uvuvi wa samaki kwa njia ya bwawa, elimu ya ufugaji wa kisasa na upatikanaji wa ndege mbalimbali wakiwemo kuku, njiwa, bata, kuchi na batamzinga, pia elimu ya kuzalisha/kutengeneza malisho bora ya mifugo ili wasitembee umbali mrefu kufuata chakula lakini pia mbwa wenye mafunzo wanapatikana banda la Chato.

Ndg. Mgoba ameongeza kuwa bidhaa nyingine zinazopatikana ni pamoja na asali mbichi za nyuki wadogo na nyuki wakubwa, Mafuta ya alizeti, dagaa waliokaangwa na waliokaushwa kwa jua, Samaki waliokaangwa na waliokaushwa kwa moshi, mashudu, alizeti bila kusahau mboga mboga kama vile vitunguu, Chainizi, biringanya, viazi lishe pamoja na mchicha mwekundu (beetroot) ambao wengi hutumia kwa kuongeza damu mwilini.

Maonesho hayo yenye kauli mbiu; " Chagua viongozi bora kwa maendeleo endelevu ya kilimo, mifugo na uvuvi 2025"  kitaifa yameanza mnamo  Agosti 1, 2025 na Kanda ya ziwa Magharibi yalifunguliwa rasmi 03, 8, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Martine Shigela na yatahitimishwa rasmi mnamo Agosti 8, 2025 huku mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Mhe. Said Mtanda Mkuu wa mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.