• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

Baraza la Madiwani Lapitisha Bajeti ya 2018/2019

Posted on: February 22nd, 2018

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Chato limepitisha makadirio ya bajeti ya mapato na matumizi yenye jumla ya shilingi 55,213,189,051 kwa mwaka 2018/2019.
Akiwasilisha bajeti hiyo ya mapato na matumizi mweka hazina wa Halmashauri Bw. Nicholaus Haraba amesema bajeti hiyo inatokana na mapato ya ndani ya Halmashauri yenye thamani ya shilingi 2,454,191,000, ruzuku ya matumizi ya kawaida shilingi 3,532,262,000, ruzuku ya mishahara shilingi 35,621,075,775, ruzuku ya miradi ya maendeleo shilingi 12,605,660,276 na nguvu za wananchi shilingi 1,000,000,000.

Kupitia bajeti hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Chato inatarajia kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa mwaka 2018/2019 yenye thamani ya shilingi 16,229,832,544.

Akiwasilisha mpango na bajeti ya maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya ya Chato afisa mipango wa Halmashauri Bw. Said Abdalah amesema bajeti ya miradi ya maendeleo inatokana na fedha za ruzuku kutoka serikali kuu shilingi 14,177,552,544, mapato ya ndani (60%) shilingi 1,052,280,000 na michango ya jamii kiasi cha shilingi 1,000,000,000. Bw. Abdalah amesema kupitia bajeti hiyo wadau wa maendeleo wanatarajia kuchangia kiasi cha shilingi 142,510,000 katika bajeti hiyo.

Wakichangia bajeti hiyo waheshimiwa madiwani mbalimbali wameshauri bajeti hiyo ilenge zaidi katika kumalizia miradi mbalimbali iliyopo kwenye kila kata na wameomba Halmashauri iongeze bajeti ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Chato.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya YA Chato Mhe. Bartholomeo Manunga amesema utekelezaji wa bajeti hiyo kwa kiasi kikubwa unategemea makusanyo ya mapato ya ndani hivyo amewataka wakuu wa idara pamoja na waheshimwa madiwani kusimamia vizuri suala zima la ukusanyaji wa mapato ya ndani.

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Shaaban Ntarambe kupitia hotuba yake iliyosomwa na katibu tawala wilaya ya Chato bw. Elias Makory amewataka madiwani kuzingatia vipaumbele muhimu katika bajeti hiyo ili kuleta maendeleo.

Mkuu wa Wilaya amelipongeza baraza la madiwani na Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwa kuanza kutenga fedha za mapato ya ndani (60%) kwa ajili ya akina mama na vijana na amewataka madiwani hao kusimamia vizuri fedha mbalimbali zinazopelekwa kwenye kata.

Kwa mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ya Wilaya ya Chato ilipitisha bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi yenye jumla ya shilingi 58,955,111,068.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.