• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO YAANZA KUTOA CHANJO DHIDI YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

Posted on: April 25th, 2018


Wilaya ya Chato imeanza kutoa chanjo dhidi ya Saratani ya Mlango wa kizazi ambapo kwa kuanzia jumla ya wasichana 5339 watapatiwa chanjo hii.

Chanjo hii ambayo ni endelevu imetolewa na wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto ambayo pia imethibitishwa na shirika la afya Duniani itatolewa kwa wasichana wote wenye umri wa kuanzia miaka 14 kwa lengo la  kupambana na Saratani ya Mlango wa Kizazi.

Akizindua Chanjo hiyo katika hospitali ya Wilaya, Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Shaaban Ntarambe amesema ni wakati sasa mabinti kujitambua na kuacha kufanya mapenzi wakati wa umri mdogo kwani ndio kisababishi kikubwa cha saratani ya Mlango wa kizazi, “ someni kwanza mapenzi mtayakuta tu mkimaliza masomo yenu, msidanganywe na wanaume”  Mkuu wa Wilaya aliwaasa wanafunzi waliokuwepo kwenye hafla ya uzinduzi huo.

Mapema aakitoa taarifa ya uzinduzi wa Chanjo, mratibu wa Chanjo bwana Melkizedeck Kimario amesema saratani ya mlango wa kizazi huambukizwa  kwa njia ya ngono kutoka kwa mtu mwenye virusi vijulikanavyo kwa jina la Human Papilloma Virus (HPV) ambapo amesema wasichana wenye umri mdogo wako kwenye hatari kubwa ya kupata maabukizi ya HPV.

Chanjo zingine zinazotolewa  Wilayani hapa ni  ya Kuzuia kifua kikuu, chanjo ya kuzuia kupooza, chanjo ya kuzuia dondakoo, kifaduro pepopunda ,homa ya ini na uti wa mgongo, Chanjo ya kuzuia kichomo, Chanjo ya kuzuia kuharisha, Chanjo ya kuzuia Surua Rubella, na Chanjo ya kuzuia tetanasi.

Aidha chanjo ya kuzuia kupooza itakayotolewa kwa njia ya sindano itatolewa kwa watoto chini ya mwaka 1 na tayari chanjo zimeshapokelewa kiasi cha dozi 4100 na kusambazwa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ambapo jumla ya watoto 17,202 wanatarajia kupata chanjo hii kwa mwaka 2018.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.