• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO YATOA MFUGAJI BORA KITAIFA

Posted on: August 9th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Chato, imeshika nafasi ya pili Kitaifa kwa kutoa mfugaji hodari wa Ng'ombe wa maziwa, huku mshindi wa kwanza akiwa ni Ebenezer Nkoh akitokea  Dodoma jiji kijiji cha Nzuguni. kufuatia Mashindano ya Maonesho ya nane nane yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Dodoma Agosti 8, 2025.

Kinara huyo aliyeitwalia heshima kubwa wilaya yake anafahamika kwa jina la Emmanuel Kabakeza Kalekezi kutoka kijiji cha Butengo, Kata ya Butengorumasa wilayani humo wakati kikundi cha HAMU GRUP kinachojishughulisha na Ujasiliamali na  usindikaji kilichopo kata ya Buseresere kikishika nafasi ya tatu kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa Magharibi na kujitwalia Cheti cha ushindi na zawadi ya Tshs. 200,000/= aliyokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mohamed Mtanda aliyekuwa Mgeni rasmi wakati wa kufunga sherehe za kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya nanenane  zilizofanyika viwanja vya Nyamhongolo Mnispaa ya Ilemela Jijini Mwanza kwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa Magharibi 2025.

Pamoja na Cheti Cha ushindi pia Ndg Kabakeza amepata zawadi ya fedha Taslimu kiasi cha Tshs. 8,000,000/= (Milioni nane tu) ambapo zawadi hizo amekabidhiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan katika maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika  Mkoani Dodoma Kitaifa.

Kwa upande wake Ndg Kabakeza amesema kuwa ushindi alioupata ni matokeo ya juhudi za pamoja kati yake na timu ya wataalamu kutoka Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kumpa ushauri wa namna ya kutengeneza malisho bora lakini pia  ushauri wa kitabibu kwa mifugo jambo ambalo wataalamu wa Divisheni husika walilifanya bila kuchoka hivyo ushindi huo si wake peke yake bali ni wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kuupata.

  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg Mandia Kihiyo ameipongeza Serikali kwa mchakato wa kutafuta mshindi na kupatikana Chato lakini pia zawadi ya fedha itakayomsaidia Ndg Kabakeza kuboresha zaidi ufugaji wake huku akimpongeza Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ndg. Geriad Mgoba kwani imejidhihirisha kuwa yupo vizuri na timu yake ya wataalamu kutoa ushauri wa kitaalamu na kufuatilia utekelezaji wake kwani mwaka 2023/2024 pia alipatikana Mkulima hodari wa zao la Pamba Kitaifa.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.