• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO YAZINDUA KAMPENI YA KUIBUA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU KATIKA JAMII

Posted on: January 23rd, 2025

Mganga mkuu wa Wilaya ya Chato Dr Aristedes Raphael w kampeni ya kuibua wagonjwa wa kifua kikuu. Kampeni hii itahusisha wataalamu wa Afya kuwafuata wananchi mahali waliko ili kuwafanyia vipimo na kutoa matibabu kwa watakaogundilika kua na ugonjwa huo.

Akitoa salamu za ufunguzi wa kampeni hiyo yenye  kauli mbiu *“Kifua kikuu kinatibika na kupona kabisa, hata kama una magonjwa mengine”* Dr Aristedes amesema lengo ni kuhakikisha kila mwananchi wa Wilaya ya Chato asiwe na Ugonjwa wa Kifua kikuu. “Tunapiga vita ugonjwa wa kifua kikuu kwasababu unatibika na kupona kabisa,tunaishukuru serikali kupitia Wizara ya Afya imekuja na kampeni ya wiki mbili ili kuongeza uelewa juu ya dalili na utayari wa kufikia vituo vya afya kupata matibabu”.

Akiongea na wananchi waliofika katika uzinduzi wa kampeni hiyo katika Hospitali ya Wilaya ya Chato, Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma Dr Mollel amesema matibabu ya kifua kikuu ni bure kuanzia uchunguzi wa awali hadi matibabu,hivyo wamelenga kuyafikia makundi maalumu yanayoshindwa kufika vituo vya afya kwasababu ya mazingira ya kazi zao.“Tunaenda kuwafikia makundi yote maalumu,tutaenda hadi kwenye machimbo kuwafanyia uchunguzi wachimbaji”.

Afisa wa Kifua kikuu na Ukimwi wa wilaya, Mtabibu Michael Ng’wetelwa akitoa elimu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu amesema ni Ugonjwa sugu unaoambukizwa kwa njia ya hewa,hivyo wananchi wawe makini mara wanapopata dalili wafike vituo vya afya ili kufanya vipimo na kupewa matibabu na sio kununua dawa bila kufanya uchunguzi.

“Ugonjwa sugu ni ule unaokaa kwa mwanadamu zaidi ya siku 14 na kuendelea!Kifua kikuu kinadhibitiwa kwa chanjo” Mtabibu Michael Ng’wetelwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.