• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO YAZINDUA ZOEZI LA UTOAJI WA HUDUMA YA CHAKULA SHULENI

Posted on: July 18th, 2018

Serikali Wilayani Chato imezindua rasmi zoezi la utoaji wa huduma ya Chakula kwa wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari.

Zoezi hilo limezinduliwa kwenye kilele cha juma la elimu kilichofanyika kiwilaya  kata ya Mganza na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa elimu waliopo wilayani hapa.

Katika hotuba yake Mkuu wa Wilaya ya Chato aliyewakilishwa na Katibu Tawala wa Wilaya ndugu Elias Makori amesema utoaji wa Chakula shuleni utaongeza mahudhurio kwa wanafunzi wengi sambamba na kupanda kwa kiwango cha ufaulu kwa Wilaya ya Chato.

“huo ni wajibu wetu sisi wazazi kuhakikisha tunachangia  chakula angalau wapate  uji na pale kuna pokuwa na uwezo wapate makande ” alisema Mkuu wa Wilaya.

Naye diwani wa kata ya Mganza mhe. Mwita Tagota amesema ni wajibu wa wazazi kuhakikisha watoto wao wanapata huduma ya chakula wawapo shuleni kwa kutoa sehemu ya chakula  ambacho wazazi wamekuwa wakiwapa wanafunzi wawapo nyumbani  na kupelekwa shuleni bila kuathiri uchumi wa familia.  

Katika risala yao wanafunzi  wameomba serikali kuanzisha shule sitiri ili kupunguza umbali mrefu wa wanafunzi kwenda shule. Wanafunzi hao wamesema mpango wa utoaji wa chakula shuleni ni msingi mzuri wa ukuaji wa stadi za kujua kusoma, kuhesabu na kuhandika hivyo wameiomba jamii kulipa kipaumbele suala hilo.

Juma la elimu limeenda sambamba na maonesho ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na wanafunzi katika ujifunzaji wa kila siku na utoaji wa tuzo kwa shule na walimu waliofanya vizuri katika sekta ya elimu kwa mwaka 2017/2018.

Kaulimbiu yamaadhimishio hayo ni Stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu KKK ni msingi wa kuelekea uchumi wa viwanda.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DC BURA AKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA MIFUGO

    June 24, 2025
  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • MAKAMPUNI 12 KUNUNUA ZAO LA PAMBA CHATO

    May 15, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.