• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

Posted on: August 28th, 2025

Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Chato ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ambaye ni Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii (W) Ndg. Elimkwasi John, ilifanya ziara ya siku mbili kukagua Miradi ya ujenzi wa Majosho inayotekelezwa katika vijiji mbalimbali vilivyopo ndani ya Wilaya hiyo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya jamii (TASAF).

Ziara hiyo iliyofanyika kuanzia  Agosti 25 - 26, 2025 ilitembelea na kukagua ujenzi wa majosho 15 yanayojengwa katika vijiji vya Kisesa, Kachwamba, Bukome, Nyangomango, Katende, Mkungo, Nyantimba, Kalebezo, Nyabugera, Bwina na Kibehe, Muranda, Ilemela, Bwera, pamoja na Makurugusi huku gharama za miradi hiyo ikiwa ni Tshs. 428,571,430.50

Ndg. Mkwasi alisema kuwa ‎lengo la ukaguzi huo ni kuhakikisha kuwa ujenzi wa miradi hiyo unazingatia ubora wa viwango vya kitaalamu, unakamilika kwa wakati na unaendana na matarajio ya halmashauri ya kuboresha huduma za mifugo na ustawi wa jamii ambapo timu hiyo ilifurahishwa na hatua za utekelezaji.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Sosthenes J.Nkombe ambaye ni Daktari wa wanyama (W)  alisema uwepo wa Majosho hayo utasaidia kupunguza Magonjwa yanayoenezwa na Kupe na Inzi ambayo mpaka sasa ndiyo yanayosababisha vifo  vingi vya ndama, Lakini yanaleta hasara kubwa kwa wafugaji kwa sababu kutibu Ng'ombe aliyeshambuliwa na Magonjwa yanayoenezwa na Kupe ni gharama kubwa.

Aliongeza kuwa kuogesha Ng'ombe kwa kutumia bomba la mkono halina ufanisi ikilinganishwa na kuogesha kwenye Josho, hivyo majosho haya yatapunguza vifo na kuondoa gharama za matibabu kwa wafugaji na kupelekea wafugaji wafuge kwa tija kwa kujipatia kipato na Chakula cha uhakika kwa kipindi chote Cha ufugaji.

‎Halmashauri ya Wilaya ya Chato itaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya TASAF na kuhakikisha inakamilika kwa ubora unaotakiwa ili kufanikisha lengo kuimarisha uchumi wa kaya na kuongeza tija katika sekta ya mifugo.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.