• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC ATANGAZA VITA NA WASIOKUWA NA VYOO

Posted on: June 17th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri ameagiza kaya zisizokuwa na vyoo wilayani hapa kuhakikisha wanachimba vyoo  hadi kufikia tarehe 30 Julai 2019 kaya hizo ziwe na vyoo.

Mkuu wa Wilaya ametoa agizo hilo wakati wa hitimisho la Kampeni ya kitaifa ya Nyumba ni Choo Wilayani Chato iliyofanyika stendi ya Muungano inayoratibiwa na Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais-TAMISEMI chini ya balozi wa kampeni hiyo msanii Mrisho Mpoto.

Mkuu wa Wilaya amesema kwa takwimu zilizopo kaya 1,155 kukosa vyoo bora katika Wilaya ya Chato si suala la kuvumilia na hivyo kuagiza wananchi wote wajenge vyoo na ambavyo havijaboreshwa kuhakikisha vinafanyiwa maboresho  hadi kufikia muda huo kila kaya hizo ziwe na vyoo.

“Mwisho wa mwezi wa saba kwa ambaye hatakuwa hana choo akamatwe, apigwe faini ya shilingi elfu 50,000 kisha atuoneshe sehemu anayojisaidia” alisisitiza Mkuu wa Wilaya.

Aidha Mkuu wa Wilaya ameagiza kuanzia tarehe 17 Juni 2019 maafisa afya waanze msako nyumba hadi nyumba  kukagua usafi katika maeneo yanayozunguka nyumba ambapo ameagiza kwa nyumba ambazo zitakutwa zimezungukwa na uchafu nazo zipigwe faini.

Akisoma taarifa ya Wilaya kuhusu Usafi wa Mazingira afisa afya bwana George Luhumbika amesema hadi kufikia mwezi Machi 2019 jumla ya kaya 61,941 za Chato zilizoingizwa kwenye mfumo wa usafi na mazingira wa kitaifa, kaya 60790  zina vyoo sawa na 98.1% na kaya 1155 hazina vyoo  sawa na 1.86%.

Balozi wa Kampeni ya Usichukulie Poa Nyumba ni Choo Msanii Mrisho Mpoto amesema ni aibu kwa watanzania kuendelea kufundishwa namna ya kunawa mikono au kutokuwa na choo, ambapo amesema choo bora hakihitaji gharama kubwa kama mtu ataamua katika familia yake.

“Mheshimiwa DC mimi nitasikitika nikisikia kuwa hadi leo hii watu hawajui kunawa mikono…, Choo bora hakiitaji gharama kubwa, choo bora kinatakiwa kiwe na mfuniko, kisakafiwe na kiwe na bomba la kutolea hewa chafu, choo bora kiwe na maji na sabuni. Alisisitiza Mrisho Mpoto.

Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri akiongoza maandamano ya kampeni ya Usichukulie Poa Nyumba ni Choo katika kata ya Muungano

Mkuu wa Wilaya akiwa na viongozi wengine wakiwa wamesimama kwenye Bendera aliyoipandisha kwa 57% ambayo ni asilimia ya kaya zenye vyoo viliyoboreshwa katika Wilaya ya Chato huku kukiwa na kazi ya kufikia kaya zote ifikapo Julai 30 2019.

Balozi wa Usichukulie Poa Nyumba ni Choo Mrisho Mpoto akiongea na wananchi wa wa kata ya Muungano kuhusu matumizi ya Vyoo na unawaji wa mikono

Sehemu ya meza kuu wakipunga mkono kuashiria kupokea kampeni ya Usichukulie Poa Nyumba ni Choo

Wasanii wakitoa burudani wakati wa kampeni hiyo iliyofanyika stendi ya Muungano

 

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.