• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC AWAONGOZA WANANCHI KUPIMA VVU NA KUCHANGIA DAMU

Posted on: December 1st, 2018



Mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani Mkuu wa Wilaya ya Chato Eng. Mtemi Msafiri akipima virusi vya UKIMWI  kwenye maadhimisho yaliyofanyika Kimkoa wilayani Chato kata ya Bwanga. Mkuu wa Wilaya ya Chato alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Geita

Mkuu wa wa Wilaya ya Chato Eng. Mtemi Msafiri akichukuliwa vipimo kabla ya kuchangia damu kwenye maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika Wilayani Chato kata ya Bwanga

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Eliurd Mwaiteleke akipima virusi vya UKIMWI  kwenye maadhimisho  ya siku  UKIMWI yaliyofanyika Kimkoa wilayani Chato kata ya Bwanga

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashari ya Wilaya ya Chato akichukuliwa vipimo kabla ya kuchangia damu kwenye maadhimisho hayo

Mkuu wa idara ya Utumishi na Utawala Halmashauri ya Wilaya ya Chato Calolina Kayombo akifurahia jambo mara baada ya kupima virusi vya UKIMIWI katika maadhimisho hayo

Askari wa Usalama  barabarani  wa Wilayani Chato nao pia walijitokeza kupima virusi vya UKIMWI

Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni kwa ajili ya kipima Virusi vya UKIMWI katika maadhimisho hayo

Diwani wa kata ya Bwanga (kulia) Nuhu Mahamud akichangia damu, kushoto kwake ni katibu wa wazazi wilaya ya Chato Ally akipande naye akijiandaa kuchangia damu

Mkuu wa Wilaya ya Chato akihutubia mamia ya wananchi (hawapo pichani) ambapo amewasisitiza kupima virusi vya UKIMWI mara kwa mara na pia kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wagonjwa mbalimbali

Baadhi ya wananchi waliofika kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika kimkoa Wilayani Chato kata ya Bwanga


Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.