• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC BURA AZINDUA KAMPENI YA CHANJO NA UTAMBUZI MIFUGO

Posted on: September 11th, 2025

Kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mapafu na utambuzi wa mifugo ilizinduliwa rasmi  Septemba 10, 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Chato, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali lililotolewa na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katikati ya mwezi June 2025 akiwa mkoani Simiyu.

Uzinduzi huo umefanywa  na Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhe. Louis Peter Bura katika kijiji cha Nyangomango kata ya Ilemela wilayani humo ambapo amewataka wafugaji kuhakikisha mifugo yao yote inapata chanjo sambamba na kuwekwa heleni ikiwa ni mikakati ya kudhibiti magonjwa ya milipuko kwa mifugo pamoja na kurahisisha utambuzi.

" Chanjo hii ni ruzuku ya Serikali tofauti na chanjo zilizopita, kila ng'ombe atachanjwa kwa Tsh. 500/=, mbuzi Tsh. 300/= lakini kuku ni bure, sasa sisi wafugaji tunatabia ya kuficha ng'ombe wetu ili isijulikane una ng'ombe wangapi, tutoke kwenye dhana hiyo, tunahitaji takwimu kwa faida ya nchi na si vinginevyo, lengo ni kupata mifugo yenye afya bora ili kupata soko zuri ndani na nje ya nchi" Alisema Mhe. Bura

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg. Mandia Kihiyo pamoja na Kuishukuru Serikali, amekiri kupokea kiasi cha Tsh. 20,940,000/= kwa ajili ya zoezi hilo,  chanjo dozi 120,000 kwa ajili ya kuchanja ngombe, chanjo ya kuku dozi 360,000, pikipiki 8, majokofu pamoja na toolbox huku akisisitiza kuwa atawasimamia kwa ukaribu wataalamu wa chanjo na utambuzi mifugo kutekeleza kampeni hiyo kwa wafugaji wote.

Naye daktari wa wanyama wa halmashauri hiyo ambaye ndiye mratibu wa kampeni ya Chanjo Wilayani humo Dkt. Sosthenes J. Nkombe alisema zoezi hilo linakwenda sanjali na utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo kwa kutumia heleni za kielektroniki, hivyo ng'ombe ambao watachanjwa watatambuliwa na baada ya kutambuliwa watasajiliwa na watakuwa wanafuatiliwa ili mfugaji aweze kurasimisha mifugo yake  ifahamike na kuondoa changamoto za watumiaji wengine wa ardhi na kupunguza wizi wa mifugo lakini pia kujua kiwango cha huduma kwa mifugo hiyo.

Nkombe aliongeza kuwa halmashauri  inakadiria kuchanja Ng'ombe zaidi ya laki 1, wameshachanja 36,193 na kuku 326,751 wamechanjwa

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • ZAHANATI YA NYARUTUTU MBIONI KUANZA KAZI

    September 16, 2025
  • DC BURA AZINDUA KAMPENI YA CHANJO NA UTAMBUZI MIFUGO

    September 11, 2025
  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.