• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC CHATO AMWONYA MKANDARASI WA MAJI

Posted on: August 22nd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Chato mhandisi Mtemi Msafiri Semeon ameagiza mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Eliurd Mwaiteleke kutokumwongeza muda mkandarasi wa mradi wa maji wa Imalabupina Ichwankima kutokana na kusuasua kwa utekelezaji wa chujio la maji linalojengwa Nyamirembe na utandazaji wa mambomba ya maji.

Mkuu wa Wilaya ametoa agizo hilo leo wakati akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa Wilayani hapa ziara ilihudhuriwa pia na waziri wa Nishati mhe.Dkt. Medard Kaleman na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato.

“hajatoa sababu yoyote ya msingi ya serikali kumwongeza muda na kama ni hela alishalipwa… sisi ikifika tarehe tunaanza kumakata hela, kuna vifaa havipo site, sisi tunataka water treatment ikalimilike wananchi waanze kupata huduma ya maji” alisistiza Mkuu wa Wilaya.

Naye mhe. Dkt. Kalemani amesema pamoja na kumweleza mkandarasi huyo kukamilisha mradi huo kwa wakati lakini bado kazi ya mkandarasi huyo bado hairidhishi na hivyo amemwagiza kuongeza vifaa eneo la kazi pamoja na kuongeza muda wa kufanya kazi na idadi ya mafundi na vibarua ili kazi ikalimilike ndani ya muda uliopangwa.

Mradi wa maji wa Imalabupina Ichwankima wenye thamani ya Shilingi bilioni 8.2  unatekelezwa na wakandarasi Ndeenengo Senguo Co. LTD. na MM industry Co. LTD kwa mkataba wa miezi 12 ulianza mwezi Mei mwaka 2017 na unatarajiwa kukamilika mwezi Oktoba 2018.

Miradi mingine iliyotembelewa na viongozi hao ni pamoja na ujenzi wa Bandari ya Nyamirembe, Soko la Kimataifa la Kasenda, Shule ya sekondari ya Zakia Meghji na kituo cha Afya cha Kachwamba ambapo Mkuu wa Wilaya ameagiza kufanyika marekebesho kwenye ujenzi wa njia ya watembea kwa miguu (walkway) kituoni hapo na kuondoa baadhi ya milango iliyo chini ya kiwango

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.