• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC CHATO ASISITIZA WATAALAMU WA AFYA KUSHIRIKA CHATO UTALII MARATHON

Posted on: November 9th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Mhandisi Deusdedith J. Katwale, leo Novemba 9, 2023 amefanya kikao na Waganga Wafawidhi kutoka katika Zahanati na Vituo vya Afya  pamoja na Hospital ya Kanda Chato.


Kikao hicho kilichoketi katika ukumbi wa J's Chato kilikuwa na lengo la kuwajulisha juu ya tamasha kubwa (Chato Utalii Festival) litakaloanza tarehe 26 Novemba 2023 na kutamatika 03 Disemba 2023.


Mhe. Katwale amewafahamisha wataalamu hao kuwa  katika Tamasha hilo mtaji wa kwanza ni Afya ya washiriki, hivyo wanapaswa kujikita katika kutoa huduma za afya kwa watalii watakaofika kutoka nje na wanaotoka ndani ya wilaya yetu.


" Nashauri watumishi wa kada zote hususani wataalam wa Afya washiriki kikamilifu upande wa riadha (Marathon) ili kujiweka sawa mwili pamoja na kuburudika kwa kukutana na watu kutoka maeneo mbalimbali na kubadilishana nao mawazo, Nyinyi wataalam wa Afya muhimu sana mjipange kimikakati katika kuhakikisha huduma za Afya zenye kiwango cha ubora zitapatikana kikamilifu muda wote wa Tamasha kama ilivyo kawaida yetu hapa Chato kipaombele chetu ni huduma bora" Alisema Mhandisi Katwale.


Aidha Katwale  amehitimisha kwa kuwasisitiza wajumbe wa kikao kuwa mabalozi wa kutangaza suala la " *CHATO UTALII FESTIVAL"* kwani wafanyabiashara watanufaika kwa kutangaza na kuongeza wateja wa biashara zao, Wataelimika kupitia makongamano pia  wataburudika kupitia, Mbio za baiskeli, wasanii maarufu kama vile Baba Revo, Mandonga mtu kazi ( Atapigana), Barnabas, Mrisho Mpoto, Beka flavour, Sholo Mwamba, Ibra Mzalendo(Zingibari) na wasanii wengine wakubwa ambao kamati  bado inafanya nao mazungumzo kuhakikisha kuwa watakuwepo.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.