• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC CHATO AWAVAA WAFANYABIASHARA WANAOFICHA SUKARI NA KUPANDISHA BEI

Posted on: February 20th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Mhandisi Deusdedith Katwale amewataka wafanyabiashara wote wanaouza sukari kwa bei ya tofauti na bei iliyoelekezwa na Serikali pamoja na wanaoficha sukari wachukuliwe hatua endapo wataendelea kukaidi agizo kwani wanaowaumiza ni wananchi.

Mhandisi Katwale aliyasema hayo katika kikao maalum cha kamati ya ushauri wilaya kilichofanyika Januari 24/2024 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Chato ambapo mwenyekiti wa kikao ni Mhe. Mkuu wa wilaya na wajumbe ni Katibu tawala wilaya, Kamati ya ulinzi na usalama wilaya, Mhe. Mbunge, Mhe.Mwenyekiti wa Halmashauri, Maafisa Tarafa wote, Wakuu wa Idara na vitengo,Watendaji kata wote, Viongozi wa vyama vya siasa vyote pamoja na Viongozi wa Mashirika yasiyo ya Serikali.

Aidha Mhandisi Katwale amemtaka mkurugenzi kuwatuma  maafisa biashara wa Halmashauri kuwatembelea na kuwapa elimu juu ya ununuzi na uuzaji wa bidhaa hususani sukari kwa kufuata bei zilizoelekezwa na Serikali  huku wakiangalia kuhudumia jamii bila kuiumiza na wao kuridhika na faida ndogo wanayoipata.

Naye mwenyekiti wa wafanyabiashara wilaya ya Chato Ndg Jovin Mugisha Mwarabu alikiri kuwepo kwa changamoto ya sukari hivyo aliiomba Serikali kufanya mazungumzo na wazalishaji wa Sukari kuhusu kupunguza bei ili kuwasaidia wafanyabiashara mbali na kuihudumia jamii lakini pia nao waweze kupata faida tofauti na hivyo watakuwa wanatoa  huduma kwa kuinufaisha jamii huku wao wakiingia hasara.

Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg Philip Shoni alisema ameyapokea maelekezo yote ya Mhe. Mkuu wa wilaya na kuahidi kuyafanyia kazi kwa uharaka na kuhakikisha Afisa biashara wa Halmashauri wanawafikia wafanyabiashara ili  kuwapa elimu lakini pia kuwasihi wafuate maelekezo ya Serikali.

Akihitimisha kikao hicho kilichoketi kwa lengo la kufanya mapitio ya kujadili utekelezaji wa mpango na bajeti wa mwaka 2024/2025 pia  kupokea , kupitia na kushauri vipaombele vya kuingizwa kwenye mpango na bajeti 2024/2025 vitakavyowasilishwa na Halmashauri ngazi ya mkoa.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.