• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC KATWALE ASISITIZA KUDUMISHA AMANI NA UPENDO NDANI YA FAMILIA KAMA MSINGI WA MAADILI KATIKA JAMII

Posted on: May 16th, 2023

Hayo yamesemwa na Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato Eng. Deusdedith Katwale katika maadhimisho ya Siku ya Familia Duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa shule ya Sekondari Jikomboe chini ya kauli mbiu isemayo " Imarisha Maadili na Upendo kwa familia Imara"  akiongea na viongozi wa Dini na Serikali pamoja na wananchi waliohudhulia katika maadhimisho hayo Mhe. Katwale amesisitiza familia kudumisha amani na upendo kama msingi wa kuwa na jamii yenye maadili.


Ameongeza kwa kusema " bila kuwa na familia imara basi tegemea kuma na jamii tegemezi kwani kila kitu katika jamii zetu kinajengwa na msingi wa familia imara"


Aidha Mhe. Katwale amesisitiza kama tunataka kurejesha misingi ya Maadili basi tunahitaji kufanya mambo makuu manne katika jamii zetu kama familia ambayo; imani thabiti  kama msingi wa ndoa, uchumi ndani ya familia, kuwa na elimu pamoja na matumizi sahihi ya teknolojia haya mambo yanapokosekana basi ndipo tunaona jamii zetu zinakuwa na tabia za mmonyoko wa maadili kama vile vitendo vya ushoga, kusagana na ulawiti, mauaji.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo ameomba wazazi kama kiunganishi mhimu ndani ya familia kuendelea kuwa msitari wa mbele katika malezi na kuendelea kulinda utu wa jamii zetu na taifa kwa ujumla.


Akitoa neno la shukrani Ndg.  John Mgaya amemshukuru Mhe. Mkuu wa wilaya kwaniaba ya wanafamilia wote waliofika katika maadhimisho hayo kwa  hotuba nzuri ambayo ameitoa na  kumwaidi kwenda kuyaishi maneno aliyowaasa ili jamii zetu ziwe na amani na upendo na kuwa na jamii zenye maadili mazuri.


Akihitimisha maadhimisho hayo Mhe. Mkuu wa wilaya amepata fursa ya kutembelea banda la lishe na kupata fursa ya kupima uzito pamoja na kimo ili kujua uwiano wa uzito wake  ambapo amewaasa wananchi kutembelea banda hilo ili kujua afya zao.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.