• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

DC NKUMBA ATOA MAELEKEZO 10 KAMA DIRA KATIKA UONGOZI WAKE CHATO

Posted on: March 21st, 2024

▪︎Ni katika kikao alichoketi

  mapema hii leo na

  wakuu wa idara pamoja

  na vitengo katika ukumbi

  wa mikutano ofsini

  kwake.

1. Kila Mkuu wa Idara ahakikishe anatimiza wajibu wake kwa uadilifu na ufanisi wenye kuleta matokeo chanya katika eneo analolisimamia

2. Kila mmoja akawe jicho la Serikali katika eneo lake la kazi hasa katika kusimamia fedha za Miradi zinazokwenda kutekeleza miradi mbalimbali ndani ya Halmashauri,

"_Jiepusheni na ubadhilifuwa Fedha na Mali za Serikali"_

3. Kasi ya ukusanyaji wa Mapato iongezeke ikiwa ni sambamba na kuunda timu maalumu ya kufatilia mapato ya ndani ya Halmashauri.

4. Idara ya Utumishi na utawala fanyeni kazi zenu kwa kuzingatia Sheria, Taratibu na Kanuni za kiutumishi katika kuwahudumia watumishi wote wa umma bila kujali cheo chake au mahala anapotoka.

  NB:

Madai ya uhamisho, posho ya kujikimu, msawazo wa watumishi hasa kada ya elimu ufanyike kwa kuzingatia jinsia lakini nendeni mkasimamie sitahiki zote za watumishi wote.

 _"Haipendezi kuona mtumishi flani kahamia juzi unakuta yeye kalipwa stahiki ile ile ambayo kuna mfanyakazi uko nae ana zaidi ya mwaka lakini stahiki yake ile ile bado hajapatiwa"_

5. Viongozi wote kuanzia ngazi ya Kijiji na Kata jengeni utamaduni wa kuwasiliza wananchi mnaowahudumia ikiwa ni pamoja na kutatua kero zao.

6. Watumishi wa Umma fanyeni kazi kama timu, jihadhalini na makundi katika utumishi wa umma.

7. Hakikisheni Miradi yote vipolo inakamilika ikiwa ni sambamba na kulipa Madeni yote ya Wazabuni katika Halmashauri yetu.

8. Ofisi ya Mganga Mkuu wa wilaya wekeni utaratibu wa kuwahudumia wazee wetu katika hospitali zetu na vituo vyetu vya kutolea huduma kama mwongozo wa Serikali unavyotutaka.

9. Idara za Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari simamieni nidhamu, na uwajibikaji wa waalimu katika shule zote ndani ya Halmashauri, " _Nimesikia na kuambiwa mambo mengi yanayoendelea ndani ya idara hizi niwaombe sana, nendeni mkabadirike kwani ninyi mnasimamia kundi kubwa la watumishi ndani ya Halmashauri yetu_ "_

10. Maelekezo ya viongozi toka ngazi ya wilaya, mkoa na kitaifa ni mhimu ni lazima kuheshimika.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.