• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

"IFIKAPO DISEMBA MWAKA HUU, SHULE MAALUMU YA MBUYE IWE IMEKAMILIKA NA WATOTO WAMEANZA KUSAJILIWA TAYARI KWA KUANZA MASOMO JANUARI 2025” MHE. QS OMARY KIPANGA NAIBU WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Posted on: July 8th, 2024

Mhe. QS Omary Kipanga ameitoa kauli hiyo mapema hii Julai 05, 2024leo alipokuwa katika ziara ya kikazi katika Halmashauri ya wilaya ya Chato ambapo alipata fursa ya kutembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa Shule Maalumu ya Mbuye inayojengwa na shirika la nyumba la taifa (NHC) ambayo mpaka kukamilika kwake itagharimu kiasi cha billion 4.7

Akizungumza na viongozi wa chama na Serikali waliokuwa wameambatane nae katika ziara hiyo Mhe. QS Omary Kipanga amewataka Shirika la Nyumba la Taifa kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati kama ulivyokusudiwa kwani fedha zipo hivyo hakuna sababu ya kuona mradi huo unasuasua kwani kwa kufanya hivyo tutakuwa tunawaadhibu watoto wetu wenyewe na pia tutakuwa tunamuangusha Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Sululu Hassan kwani kama ni fedha amekwishatoa na kilichobaki ni kwetu sisi wataalamu kuhakikisha tunasimamia kwa uaminifu na uadilifu mkubwa.

Aidha Mhe QS Kipanga amepata fursa pia ya kutembelea mradi wa Ujenzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Kasagara ambapo amewatoa hofu wananchi na viongozi wa maeneo hapo kwa kuwahakikishaia kuwa, Mradi wa Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salamu upo pale na wasidanganywe haujawi kutolewa na wala hautatolewa katika wilaya ya Chato, ameongeza kwa kusema, “ni kweli kulikuwa na changamoto kati ya mtekelezaji wa mradi na mwenye mradi lakini hata hivyo tofauti hizo tunakwenda kuzimaliza hivi karibuni na hivyo mradi utaanza mara moja”

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Mhe. Christian Manunga amemuomba Mhe. Naibu Waziri wa Elimu , Sayansi na Teknolojia kumpelekea salamu za dhati Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Sululu Hassan, kwani Chato sasa imepiga hatua kubwa kimaendeleo katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hasa katika nyanya za Elimu, Afya na na Uchumi. Pia ametoa shukrani za dhati kwaniaba ya wilaya, ameongeza kwa kusema  kwa hili la leo mimi binafsi niseme tu, “nimefa

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.