• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KILIMO CHA ZAO LA PAMBA NA TUMBAKU CHATAJWA KUWA MKOMBOZI KWA WAKULIMA CHATO

Posted on: January 23rd, 2025

Mkuu wa wilaya ya Chato mhe. Louis Peter Bura ametembelea wakulima wa zao la pamba na tumbaku januari 23/2025 katika kata ya Iparamasa Wilayani Chato.

Bura amewapongeza wakulima wa zao la pamba, ambapo amefurahishwa na jitihada wanazoendelea nazo za kuakikisha wanalima zao hilo kwa weredi na kwakufuata taratibu zote na hasa kipimo cha 60 kwa 30 na kuakikisha dawa za kuua wadudu zinanyunyuziwa kwa wakati,kwani mkulima asipopiga dawa kwa wakati wadudu watasababisha hasara.

Pia amewapongeza wakulima wa zao la tumbaku wanao fanya vizuri na amewasihi wale ambao bado wanalima zao hilo kwa mara ya kwanza, kujitahidi  kuzingatia taratibu na kanuni ili kuweza kupata mavuno ya kutosha na yenye ubora.

Naye Walwa Zakaria aliye jishidia zawadi ya trekta kutoka kwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, aliye kuwa mkulima bora wa pamba,  ameahidi kuwa ataakikisha wakulima wote wanafanya vizuri ili wilaya ya Chato izidi kushamili kitaifa na kimataifa.

Na kwa wakati huo huo mkuu wa wilaya mhe. Bura ametembelea ujenzi wa shule ya sekondari Mwendakulima, sekondari ya Iparamasa na sekondari ya Kabantange, ambapo ametoa rai kwa wasimamizi wa miradi hiyo kuakikisha wanazingatia maelekezo na kuwa waamnifu  katika matumizi ya fedha , kusudi miradi hiyo iweze kukamilika kwa wakati na kwa ubora uliotarajiwa.

"Katika wilaya yangu sihitaji kuona mradi wowote unaishia njia kwa kisingizio cha fedha kuisha! kwasababu fedha zinaletwa zikiwa zinajitoshereza kwa kila mradi husika sitaki kusikia ubadhirifu wa aina yoyote wala  konakona, maana rais anatoa fedha akilenga wananchi wake kuondokana na changamoto za huduma za kijamii" asema Bura.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • MAKAMPUNI 12 KUNUNUA ZAO LA PAMBA CHATO

    May 15, 2025
  • DC BURA AKAGUA MIRADI YA ZAIDI YA TSH. BILIONI MOJA - CHATO

    May 13, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.