• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

"MAPATO YA HALMASHAURI NI LAZIMA YAKUSANYWE KWA ASILIMIA 100, MHE NYEREMBE"

Posted on: January 23rd, 2024

Kauli hiyo imetolewa na Mhe. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Chato Ndg. Barnabas Nyerembe katika Kikao Maalumu kilichofanyika Januari 22, 2023 katika Ofisi za Chama.


Akizungumza na wajumbe wa Mkutano huo Mhe. Nyerembe amesisitiza kuwa lengo la Kikao hicho Maalumu ni kufanya Majadiliano dhidi ya Changamoto zinazokwamisha ukusanyaji na kuweka mikakati juu ya ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri kwa asilimia 100


Aidha kikao hicho kiliwahusisha wajumbe wa kamati ya siasa wilaya pamoja na Timu ya Menejimenti kutoka Halmashauri ambapo kwa kauli moja wamekubaliana kila mmoja kwenda kutimiza wajibu wake katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ya halmashauri.

Pamoja na kuwepo kwa wajumbe wa kamati ya siasa, timu ya menejimenti pia watendaji wa kata walipata fursa ya kuelezea changamoto wanazokutana nazo katika ukusanyaji wa mapato ambazo kwa pamoja zilijadiliwa na kutolewa ufafanuzi.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo ameahidi kutoa ushirikiano wa dhati kwa kila hatua ili mapato ya Halmashauri yaweze kukusanywa kwa asilimia 100 ikiwa ni pamoja na kutoa mahitaji mhimu kwa ajili ya kukusanya mapato ikiwa ni pamoja na kulipa asilimia 5 ya wakusanya mapato kwa wakati pamoja na uwepo wa mafuta kwa ajili ya timu za ufatiliaji mda wote.


Katika hatua nyingine kwa upande wake Mkuu wa wilaya Chato ambaye alipata fursa ya kuzungumza na wajumbe wa kikao hicho, aliahidi ofisi yake itakwenda kusimamia yale yote yaliyojadiliwa ikiwa ni pamoja na kwenda kuzungumza na TRA, ofisi za NIDA ili vile vikwazo wanavyokutana navyo katika ukusanyaji wa Lesseni unapatiwa ufumbuzi.


Akihitimisha Mhe. Mkuu wa wilaya amewashukuru watumishi wote kwa namna ambavyo tumeshirikiana kwa mwaka 2023 na kuomba ushirikiano na upendo uzidi kuimarishwa kwani ndio msingi wa maendeleo na ufanisi.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.