• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MAWAZIRI 8 WATUA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KWENYE HIFADHI

Posted on: February 18th, 2019

Mawaziri 8 wakiongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wamefika Wilayani Chato kwa lengo la kutatua migogoro ya rdhi katika hifadhi za misitu.

Akitoa taarifa ya Wilaya kwa msafara huo,  Mkuu wa Wilaya ya Chato Mhandisi Mtemi Msafiri amesema kwa Wilaya ya Chato kata ya Bwanga, Iparamasa, Butengorumasa, Buziku, Nyarutembo, Kasenga na Bwongera  zinao wakazi wengi ambao wanafanya shughuli za kiuchumi katika hifadhi za misitu hiyo ikiwemo kilimo na ufugaji.

Amesema kutokana na ukuaji wa miji inayopakana na hifadhi hususan kata ya Bwanga ni dhahiri kuwa kunahitajika ardhi kubwa kwa ajili ya uendelezaji wa mji huo ikiwemo ujenzi wa taasisi na maeneo ya viwanda.

Akiongea na wananchio waliokusanyika shule ya sekondari Magufuli waziri Lukuvi amesema amesikiliza kero za wananchi wa Chato na Bukombe kuhusiana na uhaba wa ardhi na kuhaidi kufikisha kero hizo kwa mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mawaziri wengine walikuwepo kwenye msafara huo ni pamoja na Waziri wa nchi ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Seleman Jafo, Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamis Kigwangala,  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe, Husen Mwinyi, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina, Waziri wa Maji Mhe. Profesa Makame Mbarawa, Naibu waziri wa Kilimo na naibu waziri ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira.

Matangazo

  • KUPATA FOMU YA KUJISAJILI KATIKA MAONYESHO YA CHATO UTALII FESTIVAL 2023 October 25, 2023
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA CHATO WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • Tangazo la Kazi Chato April 18, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI- CHATO September 01, 2023
  • View All

Habari Mpya

  • BAROZI WA PAMBA NCHINI NDG. AGREY MWANRI AWAJENGEA UWEZO WADAU WA KILIMO CHATO

    November 10, 2023
  • DC CHATO ASISITIZA WATAALAMU WA AFYA KUSHIRIKA CHATO UTALII MARATHON

    November 09, 2023
  • Ms NANAE TAKEDA MWAKILISHI WA UBALOZI WA JAPAN NCHINI TANZANIA ATEMBELEA CHATO

    November 03, 2023
  • MHE. NAIBU WAZIRI MKUU AFUNGUA RASMI MAONYESHO YA MADINI

    September 24, 2023
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.