• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MRADI WA ZAIDI YA BILIONI 1.6 KWENDA KUMALIZA CHANGAMOTO ZA MAJI KATIKA MJI WA BWANGA IFIKAPO JUNI 2024

Posted on: December 19th, 2023

Akiongea na wanachi wa Bwanga Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Geita Ndg. Martine Shigella katika Hafla ya utiaji saini juu ya utelezaji wa Mradi huo, uliofanyika katika viwanja wa Shule ya Sekondari Kabantange iliyopo katika kata ya Bwanga ambapo Mhe. Shigela ameshuhhudia utianaji saini wa mikataba yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 4 ikiwa ni utekelezaji wa miradi kaika wilaya za Chato, Bukombe na Nyang’wale ambazo zinapatikana mkoani Geita.


Aidha Mhe. Martine amewakumbusha wakandarasi waliopata kazi hizo kufanya kazi hizo kwa uzalendo kwani Mhe. Rais anazitafuta fedha hizo kwa shida hivyo kila mtanzania anaepata fursa ya kufanya kazi kwa ajili ya wengine basi ni imani yangu kuwa atatimiza wajibu wake kwa ukamilifu na ubora wa hali ya juu.


Pia Mhe. Martine ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Chato kwa kusimamia vizuri miradi ya Maendeleo ambayo si tu kwa kuitazama bali hata ubora wake ni wa kiwango cha hali ya juu.


Kwa upande wake msimamizi wa utekelezaji wa Mradi huo Eng. Exsavery ambaye ni Meneja wa Ruwasa wilaya ya Chato amesema, “ mradi huu ni mkubwa na utanufaisha zaidi ya wakazi elfu ishirini na nane na umeandaliwa kuwa suruhisho kwa wakazi wa Bwanga na Vitongoji vyake kwa zaidi ya miaka ishirini ijayo”


Hata hivyo Eng. Exsavery amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji ndani ya wilaya ya Chato.


Mradi unatekelezwa na Mkandarasi Otonde chini ya usimamizi wa Ruwasa Chato ambapo mda wa utekelezaji ni miezi 8 na katika Mradi huo Mkandarasi atakuwa kazi ya kujenga tenki la lenye ukubwa wa ujazo wa lita 2250,000, ‘Pump House 2, vituo vya kutolea maji 17, Ofisi 1 kwa ajili ya Mradi pamoja na thamani zake ikiwa ni pamoja na kompyuta.


Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Deusdedith Katwale akitoa salamu za wilaya amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa moyo wake wa dhati katika kuhakikisha wananchi wa Bwanga na Chato kwa ujumla wanakuwa na maisha bora ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanapata maji safi na salama ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020 hadi 2025 yenye lengo la kuhakikisha ifikapo 2025 mtanadao wa Maji uwe umewafikia wananchi kwa asilimia 85


Aidha Mhe. Katwale amewaomba wananchi wa Bwanga kukaa mkao wa kula kwani ule Mradi wa Ujenzi wa Stand ya Mabasi Bwanga unakwenda kuanza utekelezaji wake mda wowote kuanzia sasa kwani mgogoro uliokuwepo kati ya TBA na Halmashuri umepatiwa ufumbuzi.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.