• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MTAALAMU WA MAFUNZO YA HUDUMA KWA MTEJA NGAZI YA KIMATAIFA ATOA SEMINA KWA WATUMISHI WA UMMA CHATO

Posted on: May 26th, 2023

Mafunzo hayo ambayo yameandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Mkuu wa wilaya Chato kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato.

Akiongea na washiriki wa Mkutano huo Mkuu wa wilaya ya Chato Eng. Deusdedith Katwale akizindua mafunzo hayo amewataka watumishi wote wa umma kuongeza ubunifu wa kuwahudumia wananchi kwa ubora wa hali ya juu badala ya kufanya kazi kwa mazoea.


Mbali na uwajibikaji wametakiwa kujenga uhusiano mzuri wa kiutumishi,kwa kuheshimiana kupendana,kuthaminiana na kusaidiana kwa kuwa wote lengo lao kubwa ni kuwahudumia wananchi ili wapate maendeleo yanayokusudiwa na serikali.


Mhe. Deusdedith Katwale Katwale,ameyasema hayo mapema hii leo 26 Mei 2023 ambapo amesema mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uelewa wa pamoja wa namna bora ya kuwatumikia wananchi tunaowaongoza.


"Mafunzo haya natarajia yatatujengea uelewa wa pamoja katika kuwaongoza wananchi tunaowatumikia, aidha leo tumeifanya kuwa siku ya mapumziko kwa kuwa kila binadamu anahitaji muda wa kupumzika...na pia itusaidie kujenga mahusiano mazuri na ushirikiano wa umoja wetu kwa kuwa watumishi wote ni familia moja inayolenga kumhudumia mwananchi"


Akitoa mafunzo hayo kwa Watumishi wa Umma wilaya ya Chato, Mtaalamu wa Mafunzo ya Huduma kwa Wateja ngazi ya Kiwango cha Kimataifa,  Ndg. James Mwang'amba amesema miongoni mwa mambo muhimu ya kuzingatia kwa watumishi wa umma ni kufanya kazi kwa ubora zaidi ya wengine.


Hata hivyo amedai malalamiko mengi ya wananchi hutokana na baadhi ya watumishi wa umma kufanya kazi chini ya ubora unaotakiwa, huku akitoa mfano kwa baadhi ya watumishi ambao huingia kazini pasipo kujali muda wa kazi, kutoroka kazini na wengine kutokuwa na lugha rafiki kwa wananchi wanaohitaji huduma.


Kadhalika amewataka kuwa na mikakati yenye ubunifu wa kuwatumikia wananchi ikiwa ni pamoja na kuutumia muda wao wa mapumziko vizuri ikiwemo kulala mapema na kujiepusha na misongo ya mawazo jambo linaloweza kushusha ufanisi wao wa kazi.


Katika hatua nyingine Mwang'amba amewataka watumishi wa umma kubadilika kifikra ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua za kuboresha utendaji wao wa kazi jambo litakalo wavutia wananchi kupata huduma wanazotarajia badala ya kuendelea kulalamika kila uchao.


Kwa upande wake,Ofisa ugani kata ya Chato,Evelline Kamzola,amepongeza uwepo wa mafunzo hayo na kwamba yamewasaidia kuwakumbusha namna ya kutimiza majukumu yao wakati wakiwahudumia wananchi ikiwemo kutumia lugha rafiki kwa wateja wao.


Mafunzo hayo yamewakutanisha wakuu wa idara na vitengo wa halmashauri ya wilaya ya Chato,kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya, maofisa tarafa,watendaji wa kata,waratibu elimu kata,watendaji wa vijiji,na baadhi ya watumishi wengine waliojitokeza.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.