• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

"NENDENI MKATUMIE PIKIPIKI HIZI KWA KAZI ZA SERIKALI NASI VINGINEVYO" DED CHATO

Posted on: March 2nd, 2023

Kauli hiyo ameitoa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo mapema hii leo alipokuwa akikabidhi pikipiki 7 zilitolewa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ajili ya Watenda wa Kata katika viwanja vya Makao Makuu ya Halmashauri.


Aidha Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu Ndg. Martine Ndamo akitoa neno kabla ya pikipiki hizo kukabidhiwa kwa watendaji wa Kata amewataka Watendaji wa Kata kutambua kuwa pikipiki hizo watakazowagawia leo na Mkurugenzi Mtendaji ni awamu ya kwanza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amewapatia pikipiki hizi ili muende mkaboreshe utendaji kazi katika maeneo yenu" na kama mnavyojua sisi kama Halmashauri tuna kata 23 hivyo kadri zikakavyokuwa zinakuja tutawagawia ili kila Mtendaji awe na pikipiki yake na hiyo ndo adhima ya Serikali.


Pia Ndg. Ndamo amewataka watendaji wa Kata kwenda kutumia vyombo hivyo kwa umakini mkubwa ikiwa ni pamoja na kuzitunza. Pia amesisitiza kwa kusema, "watumishi wenzangu pikipiki hizi mnazopewa leo ni mali ya Serikali asitokee mtu akajimilikishe na hata ukiondoka au kuhama pikipiki hii ibaki ni mali ya Ofisi ya Mtendaji wa Kata"


Akikabidhi pikipik hizo Mkurugenzi Mtendaji Bw. Mandia kwanza amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuboresha maslahi na mazingira ya kufanyia kazi kwa watumishi  na leo tunaona pikipiki hizi ambazo zimetolewa nchi nzima lengo lake likiwa ni kuboresha na kurahisisha utendaji kazi kwa Afisa Mtendaji wa Kata.


Ndg.Mandia amesisitiza matumizi sahihi ya pikipiki ili zikalete tija katika maeneo ya kazi hasa katika nyanja za utoaji wa huduma bora kwa wananchi mnaowahudumia, usimamizi wa  Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa katka maeneo hasa katika sekta ya Elimu, Afya na Maji pamoja na ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri.


Kwa upande wa Watendaji wa Kata waliopewa pikipiki hizo wametoa shukrani nyingi kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. Samia kwa kumuahidi kwenda kutenda kazi kwa weledi na uaminifu mkubwa .

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.