• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

"NENDENI MKAWASAIDIE WAKULIMA WALIME KILIMO CHENYE TIJA WAACHANE NA KILIMO CHA MAZOEA" DC CHATO

Posted on: March 21st, 2023

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Deusdedith J. Katwale amewataka ma Afisa Ugani katika Halmashauri ya Chato kwenda kusimamia na kuwaelekeza wakulima kilimo bora na chenye tija ili waondokane na kilimo cha mazoea.


Mhe. Katwale ameyasema hayo mapema hii leo alipokuwa  akikabidhi pikipiki 44katika viwanja vya Makau Makuu ya Halmashauri zilizotolewa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo na Mifugo ikiwa lengo ni kuboresha utendaji kazi kwa ma Afisa Ugani katika shughuli zao za kila siku. .


Aidha Mhe. Katwale ametoa maagizo 4 ambayo amewataka kila Afisa Ugani aende akayaishi na kuyatenda katika eneo lake la kazi;


Mosi amewataka kuwa wabunifu katika kazi zao ili hata watakapo hamisha au kukoma utumishi wa umma basi wawe wameacha alama.


Pili amewataka kwenda kuwa mfano na kutatua changamoto za wakulima kwa kuhakikisha kila mmoja anakuwa na shamba darasa katika eneo lake ili hata wakulime wengine waweze kujifunza kutoka kwao.


Tatu amewataka kila mmoja kuhakiisha anaanzisha mashamba ya mfano katika taasisi za umma zilizopo katika maeneo yake mfano katika shule na vituo vya kutolea huduma za afya.


Mwisho amewataka kila mmoja aende akatutumie chombo alichopewa kwa kufuata taratibu zote zilizotolewa na Serikali juu ya matumizi sahihi pamoja na utunzaji wake.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chato Mhe. Christian Manunga amewataka ma Afisa Ugani kutumia pikipiki hizo walizopewa kama chachu katika kuboresha huduma za ugani katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na kuonyesha tija ili imani aliyowapa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suhulu Hassan isiwe ni kazi bure hivyo "nendeni mkajipambanue kwa kufanya kazi kwa ubora  na uaminifu mkubwa" amesema Manunga.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hamashauri Chato Ndg. Philipo Shoni amemhakikishia Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato kuwa maelekezo yote aliyoyatoa atakwenda kuyasimamia ikiwa ni pamoja na kuhakikisha pikipiki hizo zinakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa na Serikali.


Katika hatua ingine ma Afisa Ugani wamepata fursa ya kupata Eimu ya Awali juu ya vyombo vya Moto(pikipiki) kutoka kwa OCS Chato ambaye amewaasa kuhakikisha wanakwenda kujifunza katika vyuo vinavyotambulika na baadae kupata lesseni ili wawe salama wanapotumia vyombo hivyo hata ikitokea wamepata ajali au kusababisha kwani lesseni itakuwa ni kinga kwako kutopata madhara makubwa tofauti na ukiwa huna lesseni ya udereva.


Katika hatua ingine OCS Chato amewataka kuhakikisha wanatumia nguo maaluma wanapoendesha pikipiki hizo hasa kuvaa kofia ngumu kichwani, suruali, viatu, soksi za mikononi pamoja na koti zito ili kulinda afya zao.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • WAZIRI ASHATU KIJAJI AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGI

    July 06, 2025
  • DC BURA AKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA MIFUGO

    June 24, 2025
  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.