• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA YAKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA - CHATO

Posted on: September 19th, 2025


Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, imefanya kikao na viongozi wa vyama vya Siasa kutoka majimbo ya Chato Kusini na Chato Kaskazini, chenye lengo la kutoa elimu ya maadili ya vyama vya Siasa ili  wakazingatie na kufuata Sheria, Kanuni na taratibu za vyama vya Siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani utakaofanyika 29, Oktoba 2025.

Kikao hicho kimeongozwa na Bi. Dinna Mcharo aliyeambatana na  Ndg. Nangalya Ninalwo wote ni Maafisa kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa pamoja na Ndg. Herman P. Matemu Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Geita,a Septemba 19, 2025 katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato ambapo amewataka viongozi hao wa vyama kufanya  mikutano ya kampeni kwa amani na utulivu badala ya lugha za matusi na kejeli, kuepuka kuchochea ukabila, udini na ukanda pamoja na kuepuka kuwa chanzo cha vurugu badala ya kutangaza Sera Mgombea anatukana, hivyo ametaja adhabu zilizopo ni pamoja na  kufungiwa kufanya kampeni.

Bi. Dinna amewaasa viongozi hao wakati wa harakati za uchaguzi wakazingatie kuwa wanawajibu wa kunadi Sera za Chama lakini si ruhusa kunadi Sera zinazokinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, si ruhusa kutoa au kupokea hongo na kuunda kikosi binafsi cha ulinzi,ni ruhusa kupeperusha Bendera ya Chama kwa kufuata utaratibu kama vile eneo wanalofanyia kampeni na maeneo yaliyoruhusiwa lakini sio  yaliyokatazwa kama vile Shuleni, Hospitali na maeneo mengine waliyoelekezwa huku akiwasisitiza kutunza amani na utulivu wa nchi kwa kufanya Siasa safi.

Naye Mratibu wa Uchaguzi Mkoa wa Geita  Ndg. Herman P.Materu amewashauri viongozi hao wa vyama vya Siasa ambao ni wenyeviti na makatibu kuhakikisha wanafanya kampeni za kuhamasisha amani na utulivu kwani amani tuliyo nayo ni wajibu wetu kuilinda, huku akiwasisitiza kuendelea kusoma maelekezo yote waliyopewa na viongozi ili uchaguzi ukafanyike kwa kufuata kanuni taratibu na Sheria.

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imekiri kuendelea kutoa semina elekezi zinazowasaidia kuwajengea uwezo viongozi wa vyama vya Siasa lengo likiwa ni kuhakikisha kampeni zinafanyika kistaarabu

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI YA HUDUMA YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA VIKUNDI

    October 01, 2025
  • DC BURA AFUNGUA ZAHANATI YA NYARUTUTU

    September 30, 2025
  • MHE. BURA AAGIZA UWEZESHAJI KWA WAJASIRIAMALI ILI KUSHINDANA KIMATAIFA

    September 25, 2025
  • KAMISHNA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MAANDALIZI YA UCHAGUZI - CHATO

    September 22, 2025
  • View All

Video

MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 WILAYANI CHATO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.