• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

"PIKIPIKI HIZI MKAZITUMIE KWA MATUMIZI YALIYOKUSUDIWA NA SIO KUTUMIKA KAMA BODABODA", MHE. MANUNGA

Posted on: September 12th, 2024

Mhe. Christian Manunga ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita ametoa kauli hiyo alipokuwa akikabidhi pikipiki tatu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ajili ya Maafisa Watendaji wa Kata.

Aisha Mhe. Manunga amempongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna ambavyo anaiongoza Serikali ikiwa ni kwa kusema na kutenda na hili linajidhiilisha katika namna ambavyo Serikali imekuwa na inaendelea kutekeleza Miradi mbalimbali ndani ya wilaya yetu lakini pia katika mkoa na Taifa kwa ujumla.

Ndugu zangu watumishi nimatumaini yetu utendaji kazi sasa katika maeneo yenu utakwenda kuimarika na kuwa chanya hasa katika kusimamia Miradi ya Maendeleo, ukusanyaji wa mapato lakini pia mahusiano na wananchi kupitia pikipiki hizi nayo yataimarika kwani kuanzia sasa mtakuwa na uwezo wa kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao kwa wakati.

Katika ugawaji wa pikipiki awamu hii ya pili,  Kata za Bwongera, Nyarutembo na Buziko ndizo zilizopokea na hivyo kufikisha Chato kuwa na pikipiki 10 ambapo kama Halmashauri bado Watendaji 13 hawapokea, ni imani yetu siku chache zijazo wote watakuwa wamepata pikipiki.

Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu Ndg. Elon Mango amewaasa kila mtumishi aliyebahatika kupokea vifaa vya usafiri ahakikishe anazingatia kanuni na taratibu za uendeshaji wa chombo cha moto barabarani ikiwa ni pamoja na kuwa na lesseni

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.