• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

RC AONGOZA ZOEZI LA UUZAJI WA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI

Posted on: May 23rd, 2019

Baadhi ya wajasiriamali wakiwa kwenye foleni kwa ajili ya kuuziwa vitambulisho eneo la Matabe kata ya Bwanga

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel akiwa na mjasiriamali mdogo  wa Matabe mara baada ya kupatiwa kitambulisho chake 

Baadhi wa wananchi wa Matabe wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa (hayuko pichani)


Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ameongoza zoezi la uuzaji wa Vitambulisho  vya wajasiriamali kwa wachimbaji wadogo waliopo Matabe kata ya Bwanga na kijiji cha Musasa kata ya Makurugusi.

Katika hotuba yake Mkuu wa Mkoa ametoa muda wa siku 4 kwa wachimbaji hao waliopo katika maeneo ya Matabe na Musasa kuhakikisha wanakuwa na vitambulisho hivyo ili Serikali iweze kuwatambua kwa shughuli wanazofanya.

Akiwa katika eneo la Machimbo la Matabe, Mhandisi Gabriel ameliagiza jeshi la Polisi kuwakamata na kuwaweka ndani viongozi wa chama cha ushirika cha wachimbaji wadogo cha Iponyabuhabi kwa tuhuma za kuchangisha fedha kwa wananchi wa maeneo hayo ili waweze kupata leseni ya uchimbaji lakini baada ya leseni kuwa iimekamilika viongozi hao walijimilikisha leseni hiyo pasipo kuwashirikisha wananchi waliochangia fedha.

Mkuu wa Mkoa pia ametumia wasaa huo kusikiliza kero na malalamiko ya wananchi mbalimbali ambapo ameagiza uongozi wa Wilaya kushughulikia kero hizo likiwemo tatizo la maji safi na salama katika maeneo hayo.

Mkuu wa Mkoa pia ameongoza harambee ya kuchangia ukamilishaji wa jingo la zahanati ya kijiji cha Musasa ambapo jumla ya shilingi Milioni 5,120,000 zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu, vifaa, na ahadi kutoka kwa viongozi na wananchi waliokuwepo katika mkutano huo.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DC BURA AKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA MIFUGO

    June 24, 2025
  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • MAKAMPUNI 12 KUNUNUA ZAO LA PAMBA CHATO

    May 15, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.