• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

Revenue Collection strategies

Posted on: March 24th, 2017
By Rehema Matowo, Mwananchi rmatowo@mwananchi.co.tz

Chato. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato mkoani Geita, Batholomeo Manunga amewataka madiwani kuwafichua watendaji wa vijiji wanaoshirikiana na mawakala kuhujumu mapato.

Akizungumza wakati wa kufungua kikao cha baraza la madiwani, Manunga amesema baadhi ya watendaji wa vijiji na kata wanahujumu mapato kwa kula njama na wazabuni.

“Hatutaendelea kuvumilia hali hii, na ni jukumu letu sote kukabiliana na wote wanaohujumu mapato ya halmashauri kwa sababu bila kuongezeka hatutaweza kuwahudumia wananchi waliotuamini na kutuchagua,” amesema Manunga.

Bila kutaja majina wala kata husika, mwenyekiti huyo alisema tayari halmashauri imegundua mtandao wa wanaohujumu mapato ambao wataanza kushughulikiwa baada ya uchunguzi kukamilika.

Amesema watu hao wamekuwa wakiihujumu halmashauri hiyo na kuifanya ishindwe kutekeleza majukumu iliyojipangia kutokana na fedha nyingi kuishia mifukoni mwao.

Manunga aliwasihi madiwani kuacha kuwaonea aibu wezi wa mali za umma ili kuisaidia halmashauri hiyo kupiga hatua kubwa ya maendeleo.

Diwani wa Kata ya Bwina, Sospeter Nyamang’ondi ameishauri halmashauri hiyo kuwachuja mawakala wasiotimiza wajibu na wanaoshirikiana na watendaji kuhujumu mapato.

Amesema iwapo mapato yatasimamiwa vizuri, halmashauri hiyo inaweza kukusanya zaidi ya Sh2 milioni kutoka kwenye mialo.

Diwani huyo amesema mapato mengi yamekuwa yakiishia mikononi mwa watu wachache kutokana na kutokuwapo kwa mikakati mathubuti ya kuwadhibiti.

Kaimu mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Athanas Ngambakubi ameahidi kuweka mikakati kuongeza mapato na kubaini vyanzo vipya.

Amewaomba madiwani kushirikiana na watendaji wa halmashauri kubaini vyanzo vipya vya mapato, ukusanyaji na udhibiti wa mapato na usimamizi wa mapato ili kuiwezesha kutekeleza miradi ya maendeleo.

Mkurugenzi huyo amesema bila ushirikiano kutoka kwa viongozi na wananchi itakuwa vigumu kufikia malengo.     

 0

 

 

 

 

 

 

 

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.