• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

RUWASA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI CHATO

Posted on: May 17th, 2023

Ni katika Mkutano wa Mwaka uliowakutanisha watumiaji wa Maji ngazi ya Jamii (CBWSOs) pamoja na wadau wa Sekta ya Wadau wa Maji.

Akitoa neno la utangulizi Eng Avitus Exavery katika Mkutano huo kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato Eng. Deudedith Katwale uliofanyika katika ukumbi wa Chato Beach Resort  amesema " hali ya upatikanaji wa maji katika wilaya yetu ni zaidi ya asilimia 68 ambapo mpaka itakapofika 2025 tunategemea kuwa na asilimia 85 ya upatikanaji wa maji katika vijiji vyetu ambavyo vinapata maji kupitia bomba au visima ambavyo tumevichimba"


Akitoa malengo ya Mkutano huo wa mwaka Eng. Avitus amesema kupitia kikao hicho washiriki watapata fursa ya kujengewa uwezo katika nyanza za utunzaji wa nyaraka za manunuzi kutoka kwa mtaalamu wa ofisi ya Ukaguzi wa Ndani, mtu wa TAKUKURU dhidi ya vitendo vya Rushwa pamoja na Sheria za Huduma za Maji kutoka kwa wataalamu wa RUWASA.


Eng. Avitus ameongeza kwa kusema Chanzo cha fedha katika utekelezaji wa Miradi ya RUWASA ni kutoka Serikali kuu kupitia mradi wa P4R ambapo tunalipwa kutoka na matokeo ambapo kwa mwaka ujao wa fedha tumetengewa zaidi ya Bilioni 5 hivyo ni imani yangu kuwa kwa mwaka ujao wa fedha mtandao wa maji utaongezeka hasa maeneo ambayo yalikuwa hayajafikiwa, mfano Mradi mkubwa wa Maji Bwanga


Mhe. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Ndg. Christian Manunga akiongea na washiriki wa Mkutano huo amewaomba watu wa RUWASA kuendelea kuongeza kazi katika kuhakikisha kila kijiji kinapata maji mapema na haraka iwezekanavyo kwani bado kuna baadhi ya vijiji vyetu havina maji safi na salama.


Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato Eng. Deusdedith Katwale akiongea na washiriki wa kikao hicho amewaomba RUWASA pamaja na wadau wa sekta ya Maji kuendelea kushirikiana hasa katika kulinda na kutunza vyanzo vyetu vya maji pamoja na miradi ya maji inayotekelezwa katika maeneo yetu.


Aidha Mhe. Katwale  amewapongeza watumiaji wa maji ngazi ya Jamii( CBWSOs) kwa namna ambavyo wamekuwa msitari wa mbele katika kuhakikisha miradi inayoanzishwa katika jamii inaleta tija na kuwa endelevu.


Katika hatua ingine Mhe. Katwale amewaangiza watu wa RUWASA, Afisa Mazingira na Ofisi ya Mkurugenzi Chato kuhakikisha maeneo ambayo yameharibiwa na kupoteza uoto wake hivyo upatikanaji wa vyanzo vya maji kuwa tatizo hasa maeneo ya pembenzoni kama kule Nyantiba kuona ni namna gani tunarudisha hali ya uoto kama ilivyokuwa hapo mwanzo.


Katika hatua nyingine Mhe. Mkuu wa wilaya amekabidhi vyombo vya usafiri na vitendea kazi venye thamani ya zaidi shilingi milioni 30 ambavyo ni Pikipiki, Guta pamoja na Kompyuta kwa wasimamizi wa huduma za maji ngazi ya jamii katika Kata za Bwongera, Mganza, na Kigongo wamepata pikipiki 2, Guta 1 na Kompyuta1 pia Makurugusi na Ilemela pikipiki 2 na Kata ya Iparamasa imepokea pikipiki 2 na Kompyuta mpakato 1


Kwa upande wa Wahe. Madiwani kutoka katika kata zinazotekeleza miradi ya mbalimbali ya RUWASA ndani ya Halmashauri wamemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia S. Hassan kwa namna ambavyo amezidi kuendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wairadi ya Maendeleo ndani ya Halmashauri hasa katika utekelezaji wa Miradi ya Maji.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.