• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

SHAMLA SHAMLA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HALMASHAURI YA CHATO ZAPAMBWA NA UTOAJI WA MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 107 KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: March 8th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato Ndg. Mandia Kihiyo akitoa neno kabla ya kumkaribisha Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato  amewashukuru wananchi wote waliojitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani ambayo kiwilaya yamefanyika katika kijiji cha Msasa katika Kata ya Makurugusi.


Ndg. Mandia amesisitiza wanawake kuwa msitari wa mbele kwani anaamini kuwa wanawake ni Jeshi kubwa katika kila hatua kwa mfano katika shughuli za  uzalishaji, maendeleo ya kaya na familia kwa ujumla.


Pia ameongeza kwa kusema leo katika maadhimisho haya Halmashauri ya Chato itatoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 107 ikiwa ni ongezeko la milioni 32 toka kiwango kilichotolewa mwaka 2022 katika maadhimisho haya.


Mhe Mkuu wa wilaya ya Chato akitoa hutuba yake kabla ya kukadhi mikopo hiyo amewataka akina mama wa chachu kuona fursa mbalimbali kulingana na maeneo yanayowazunguka, ameongezwa kwa kusema Kauli mbiu hii ya Maadhimisho ya Mwaka huu 2023 haikuja kwa bahati mbaya " Ubunifu na Mabadiliko ya Teknolojia; chachu katika kuleta Usawa wa Kijinsia"


Mhe. Joseph Katwale amebainisha hayo kwa kuwataka wanawake wote kuwa msitari wa mbele katika kutumia fursa za mabadiliko ya teknolojia katika kujiletea maendeleo hasa katika nyanja za kilimo,  ufugaji na hata katika biashara.


Aidha Mhe. Mkuu wa wilaya amewataka viongozi kuanzia ngazi ya Kata na kijiji kuhakikisha watoto wote wanafika shuleni hasa watoto wa kike na kuondokana na dhana potofu dhidi ya kumwelimisha mtoto wa kike, pia amekemea tabia ya baadhi ya vikundi kukopa fedha hizi zitokanazo na mapato ya ndani ya Halmashauri kurejesha haraka iwezekanavyo na niseme wazi tu hapa tutachukua hatua kali kwa wahusika wote, 'Mkurugenzi naomba niipate ofisi taarifa ya vikundi vote vilivyokopa fedha'

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.