• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

SKAUTI CHATO WAJIPANGA KIKAMILIFU MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

Posted on: August 18th, 2025

Uongozi wa chama cha Skauti Wilaya ya Chato, wameishukuru Serikali kupitia viongozi wa Wilaya hiyo kuwaruhusu vijana zaidi ya 200 wa Skauti kutoka shule zote za Sekondari na Msingi (W) kuweka kambi ya kielimu na jukwaa la vijana ikiwa ni maandalizi ya Mapokezi ya Mwenge wa uhuru wilayani humo, waliyoiweka katika shule ya Msingi Magufuli iliyopo Kijiji cha Mlimani kata ya Muungano.

Kambi hiyo ilidumu kwa siku tatu ambapo ilianza Agosti 15 - 17, 2025 huku ikiongozwa na Kamishna wa Skauti ngazi ya wilaya Novati Msipa Underson (DSC - Chato) ikiwa na lengo maalumu la kuwaandaa vijana wa Skauti kushiriki kikamilifu mbio za Mwenge wa uhuru wilayani humo ifikapo 06, 09, 2025 katika vipengele vya Hamasa, paredi ya itifaki ya Skafu wakati wa mapokezi ya Mwenge pamoja na maandalizi ya vijana wa skauti watakao shiriki kambi ya Kielimu na mashindano Mkoa wa Geita kuanzia 22 - 24, 08, 2025.

Kamishna Msipa amewapongeza viongozi wa Wilaya ya Chato kwa ushirikiano mkubwa  walioufanya kuhakikisha wanapata huduma muhimu kwa muda huo wa siku tatu vijana hao wamekumbushwa suala la ukakamavu na mafunzo ya kuwajengea uimara wakati wa zoezi muhimu la Kitaifa  la mapokezi na kukimbiza Mwenge ndani ya wilaya hiyo ikiwa ni sambamba na kuwapa elimu juu ya Falsafa ya Mwenge wa Uhuru hapa nchini.

"Kutoka Moyoni sisi Vijana wa Skauti Wilaya ya Chato tunaipongeza Serikali kupitia Viongozi wa Wilaya ya Chato kwa ushirikiano  mkubwa na ukarimu waliotuonesha kwa siku tatu tulizokaa kambi katika Shule ya Msingi Magufuli eneo ambalo vijana wamepata elimu ya kutosha dhidi ya ukakamavu, uzalendo, Falsafa ya Mwenge wa uhuru sambamba na kuwakumbusha kuzingatia suala la nidhamu na utiifu. Alisema Kamishna Msipa"

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.