• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

TASAF CHATO YATOA SHILINGI 43,845,376.79 KATIKA MRADI WA KUINUA UCHUMI WA KAYA

Posted on: February 28th, 2023

Fedha hizo zimetolewa na TASAF (Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini) kupitia Mradi wa Kuinua Uchumi wa Kaya amabapo katika Halmashauri ya Chato mradi huo unatekelezwa katika vijiji viwili ambayo ni kijiji cha Mnekezi kata ya Iparamasa na kijiji cha Nyakato kata ya Bukome.


Katika Mradi huo wa kuinua uchumi wa kaya, vikundi 10 venye kaya 133 vimepokea mbuzi 399 na kila kaya imepokea mbuzi 3 ambapo kila kaya inapata dume 1 na majike 2.


Pia Mradi huo umetoa madawa pamoja na vifaa tiba kwa ajili ya kuhakikisha mifugo hao waliogawiwa kupitia mradi huo wanakua vizuri na kuwa na afya bora ili lengo la mradi liweze kutimia.


Akizungumza na walengwa wa TASAF katika mradi huo Bi. Aisha Kesowani amewataka Ma Afisa Mifugo katika vijiji husika kuhakikisha wanakuwa na ratiba ya kutembelea walengwa katika kaya zao lengo ikiwa ni kuhakikisha wanakuwa na elimu ya kutosha juu ya ufugaji wa mifugo hiyo na niwe muwazi, twendeni "tukawatunze mbuzi kwani wanapoongezeka hiyo ni mali yako"


Kwa upande wa Afisa Maendeleo ya Jamii Bw. Godfrey Nyamko amewataka  kila kikundi kuzingatia mafunzo waliyopatiwa juu ya mradi huo hasa juu ya ufugaji bora wa mbuzi na matunzo yake.


Kwa upande wake Diwani wa  Kata ya Iparamasa amemshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwa ajili ya  Mradi wa kuinua uchumi wa Kaya kupitia mpango ufugaji Mbuzi katika kijiji chake na hivyo kumuahidi kuwa watashirikiana na Serikali ya kijiji na wataalamu ndani ya kata kuhakikisha mbuzi hao pamoja na vifaa tiba vilivyotolewa vinatumika kama ilivyokusudiwa na mradi huko akitoa onyo kali kwa yeyote atakae fanya hujuma katika mradi huo.

Matangazo

  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA CHATO WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI MAENEO YA BIASHARA STENDI MPYA KAHUMO January 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • "NENDENI MKAWASAIDIE WAKULIMA WALIME KILIMO CHENYE TIJA WAACHANE NA KILIMO CHA MAZOEA" DC CHATO

    March 21, 2023
  • STENDI YA CHATO INAFANYA KAZI ACHENI UPOTOSHAJI

    March 16, 2023
  • SHAMLA SHAMLA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HALMASHAURI YA CHATO ZAPAMBWA NA UTOAJI WA MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 107 KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 08, 2023
  • "NENDENI MKATUMIE PIKIPIKI HIZI KWA KAZI ZA SERIKALI NASI VINGINEVYO" DED CHATO

    March 02, 2023
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.