• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

USHIRIKA WA WAVUVI KIKUMBAITALE WAZINDULIWA RASMI

Posted on: May 11th, 2019

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amezindua rasmi ushirika wa wavuvi wa mwalo wa Kikumbaitale uliopo kata ya Kigongo wilayani hapa.

Akizindua ushirika huo Mhe. Ulega amewaasa wana ushirika hao kuimarisha ushirika huo ili uwe na tija katika kuendeleza shughuli zao na hatimaye kuboresha maisha yao ya kila siku.

Katika uzinduzi hu, ushirika huo ulipewa fedha kiasi cha shilingi milioni tano kutoka wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa lengo la kuendeleza uvuvi salama ziwani ambapo pia Naibu Waziri Ulega ameziasa taasisi zingine za fedha kuvisaidia vyama hivyo vya ushirika kwa kutoa mikopo yenye riba nafuu ili wavuvi waweze kufanya shughuli za uvuvi kwa kutumia zana salama.

Aidha Naibu Waziri amemwagiza mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kuhakisha wanaanza ukarabati wa bwawa la Katende lililopo kata ya Katende ambalo limeharibika kwa kiasi kikubwa na kusababisha wananchi wengi hususan wafugaji wa kata ya Katende na maeneo ya jirani kupata usumbufu wa maji kwa mifugo yao.

Amesema kwa kuanzia Wizara ya Mifugo na Uvuvi itatoa shilingi milioni 10 za ukarabati wa bwawa hilo ili liweze kuhudumia wafugaji kwa haraka zaidi.

Waziri wa Nishati na Mbunge wa jimbo la Chato Mhe. Medard Kalemani ambaye alikuwepo kwenye ziara hiyo ameishukuru Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuuwezesha ushirika huo wa wavuvi wa mwalo wa Kikumbaitale na kuwataka wanaushirika hao kutumia vyema raslimali zitakazonunuliwa kutokana na fedha hizo. Aidha Mhe. Kalemani ameshukuru pia Wizara hiyo kwa kutoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya ukarabati wa Bwawa hilo ambalo ni tegemeo kwa wakazi wa Katende.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.