• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WASICHANA 55,806 KUPATIWA CHANJO YA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI - CHATO

Posted on: April 25th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Said Nkumba,April 23,2024 akiendelea na ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo, ikiwa ni katika kutekeleza ratiba ya matukio ya kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kiwilaya, pia amezindua chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wa miaka 9 hadi 14.

Uzinduzi huo umefanyika Shule ya Sekondari Chato, ukihudhuliwa na ofisi ya Mkuu wa wilaya, timu ya menejimenti,wataalamu wa chanjo,wanafunzi wa kidato cha 1 - 4 na baadhi ya walimu wa shule hiyo, ambapo kiwilaya wanatarajiwa kuchanjwa wasichana 55,806 kati yao miaka 9 ni 10,422 na  miaka 10 - 14 ni 45,384, shule za msingi 169 na  Sekondari 55.

"Chanjo hii ni salama na itawafanya kuwa na afya bora na uzazi ulio salama pindi watakapokua wakubwa,hivyo nawasihi wazazi na walezi tuwakinge watoto wetu kwa kuhakikisha wanapata chanjo ili kuepuka ugongwa huu hatari wa saratani ya shingo ya kizazi,nawaasa wapuuzeni  wapotoshaji" Alisema Nkumba

Kaimu mganga mkuu wa wilaya ya Chato Ndg Elibariki Mollel amesema maandalizi yapo vizuri,timu zote za kukamilisha zoezi la chanjo wamepatiwa mafunzo, uhamasishaji unaendelea, chanjo na vifaa vingine vimesambazwa kwenye vituo vinavyotoa huduma, na kuongeza kuwa chanjo hii ni kuanzia 22 - 28/04/2024.

Ziara hiyo pia ilikagua mradi wa upanuzi wa shule ya Sekondari Ichwankima ili kupokea kidato cha 5&6 wenye thamani ya Tsh. 919,425,000/= kwa majengo ya madarasa 4, maktaba,nyumba ya watumishi 2 in 1, Utawala, mabweni 2,bwalo,vyoo, pamoja na maabara ambapo Mhe. Nkumba alikiri kufurahishwa na  mshikamano uliopo kwa viongozi kusimamia ujenzi kwani matokeo yanaonekana  hatua za mradi nzuri na viwango vya ubora kuzingatiwa.

Aidha alikagua na kuweka jiwe la msingi Zahanati ya kijiji cha Mwekako iliyogharimu Tsh - 54,962,500/= ikiwa nguvu za wananchi 36,882,500/=, mfuko wa jimbo 1,200,000/= na mdau wa maendeleo (Hellenor Foundation) 16,879,800/= pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya 3,955,000/= ambavyo ni vitanda vya wagonjwa 2 na chakujifungulia1, 2,magodoro 2,Pazia la blue,mzani wa watu wazima,mzani wa watoto,Baiskeli ya wagonjwa

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.