• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

Posted on: May 4th, 2025


Wilaya ya Chato ina jumla ya Shule za Sekondari za kidato cha tano na sita 09 zenye mikondo 56, watahiniwa 2234 ambapo kati yao ME 1163 na KE 1071 huku waliosajiliwa mchepuo wa Sayansi wakiwa ME 357, KE 254 jumla 611 wakati waliosajiliwa mchepuo wa Sanaa  ME 806 KE 817 jumla 1623 wanaotarajia kuanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha sita Mei 5, 2025.

Afisa Elimu Sekondari (W) Mwl Longino Ludovick amezitaja shule hizo kuwa ni Buseresere, Ilemela, Jikomboe, Janeth Magufuli, Muungano Boys, Zakia Meghji, Bwina, Chato pamoja na Magufuli Sekondari ambapo amebainisha kuwa shule zote 09 ni za Serikali hakuna shule za binafsi.

Ludovick ameeleza  kuwa walimu wametimiza majukumu yao kikamilifu kwa kuwafundisha watahiniwa na kumaliza mada mapema ikiwa ni pamoja na kuwapa mazoezi ya kutosha ili kuwajengea umahiri utakao wasaidia kujibu mitihani yao vizuri.

Mkurugenzi Mtendaji (W) Ndg Mandia Kihiyo amekiri kuwa maandalizi ya Mtihani  yamekamilika kwa kuwapatia

mafunzo na maelekezo ya kina wasimamizi wote wa mitihani lengo likiwa ni kuhakikisha kazi inafanyika kwa ufanisi unaotarajiwa.

"Walimu wote watakao simamia mitihani wamepewa semina elekezi na wameandaliwa vizuri kufuata mwongozo wa baraza la Mitihani pamoja na vyombo husika vinavyounda kamati ya mitihani, ulinzi na usalama upo imara kuhakikisha kazi inafanyika kwa usalama wa hali ya juu bila udanganyifu" Alisema Kihiyo.

Aidha Ndg Kihiyo amewatakia mtihani mwema watahiniwa wote wa kidato cha sita 2025.

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia baraza la Mitihani la Tanzania imetoa ratiba ya mtihani wa kidato cha sita mwaka 2025 kuwa unatarajia kuanza Mei 05 na kuhitimisha Mei 26, 2025.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.