• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WATENDAJI WA VIJIJI NA KATA SHIRIKIANENI KIKAMILIFU KATIKA KUSIMAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: December 16th, 2022

Akifungua Mkutano kati ya Timu ya Menejimenti pamoja na Watendaji wa Vijiji uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Chato Kaimu Mkurugenzi Bw. Geraid Mgoba ambaye ni Afisa Kilimo na Uvuvi wilaya  akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji Bw. Mandia Kihiyo amewataka watendaji wa vijiji  kuwa msitari wa mbele katika ukusanyaji wa mapato kwani vyanzo vyote vipo katika maeneo yao.


Ambapo amewataka watendaji hao kila mmoja kwa nafasi yake kuhakikisha makusanyo yanapatikana na yanakusanywa kwani kama Halmashauri tumekusanya asilimia 29.57 na tulitakiwa ifikapo 31 Disemba 2022 tuwe tumekusanya asilimia 50 lakini kiasi kilichokusanywa ni asilimia 29.75 tu sawa na shiling 1,299800,203.80 ya bujeti ya Halmashauri ambayo ni 4,395,600,000


Akichangia mada mtendaji wa kijiji cha Buseresere amemwomba Mweka Hazina wa Halmashauri kuangalia namna ya kuweka utaratibu wa kutoa motisha kwa viongozi hao hasa wanapokuwa katika shughuli za kusimamia ukusanyaji wa mapato ikiwa ni pamoja na kuwalipa kwa wakati asilimia 5


Nae Mtendaji wa kijiji cha Iparamasa akichangia mada amesema yeye katika mnada wake anachangamoto ya miundo mbinu jambo ambalo linachangia kwa kiasi fulani mapato kuwa chini, amabapo kwa sasa anakusanya kiasi cha shilingi 120,000 hadi 350,000 hata hivyo amehaidi kuongeza zaidi ukusanyaji kwa kubana mianya yote ya ukwepaji katika ulipaji wa mapato ndani ya mnada wake.


Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu Bw. Edward Malima akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na wajumbe wa mkutano huo amesema, mimi pamoja na ofisi yangu tumejipanga kuhakikisha kila anaedai stahiki yake basi analipwa kwa wakati lakini ombi letu ni moja tu ndugu zangu twendeni tukakusanye mapato ili kila mmoja wetu apate haki yake'


Ameongeza Bwn. Malima kuwa Mapato katika Halmashauri ndo uti wa mgongo kwani hakuna Halmashuri bila mapato.


Akihitimisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Bw. Mandia Kihiyo amewaasa watendaji wa vijiji kuwa wabunifu katika dhana nzima ya ukusanyaji wa mapato kwani zoezi la ukusanayaji mapato siku zote toka kuumbwa kwa ulimwengu halijawahi kuwa la hiari hivyo watendaji wote katika kijiji na kata shirikianeni kwa pamoja lengo mapato yote ndani ya kijiji yanakusanywa.


Pia amewaasa watendaji kuwa na nidhamu na uaminifu katika kutoza viwango sahihi toka kwa wafanyabiashara na watoa huduma mbalimbali katika maeneo yao.


Mwisho amewataka watendaji wa vijiji kuhakikisha kila mmoja anatoa elimu kwa wananchi wake juu ya umhimu wa kujiunga na Bima ya Afya ya CiHF na kuhakikisha walau kila mtendaji kuhakikisha amesajili wanacha 50 kila mwezi, ambapo kila kaya itaundwa na watu 6 kwa kiwango cha shilingi 30,000

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.