• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

Posted on: August 27th, 2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato ambaye ndiye Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ndg. Geriad Mgoba, Agosti 25, 2025 alifanya kikao na watumishi wapya wa idara ya kilimo chenye lengo la kuwataka kufanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu mkubwa wanapowahudumia wananchi ili kutimiza haja ya Serikali  kwani imewekeza rasilimali nyingi kuwaajiri wataalamu ili wananchi wapate huduma iliyo bora na kuongeza uzalishaji.

Akizungumza na watumishi hao Ofisini kwake aliwasisitiza wataalamu hao kuhakikisha wanakuwa chachu ya kuleta matokeo chanya katika Sekta ya kilimo kwa vitendo kwenye maeneo yao ya kazi kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na kufuatilia utekelezaji wake.

" yetu ni ya vitendo, hivyo nendeni mkafanye kazi na matokeo yaonekane kwa kuongeza uzalishaji, Serikali imewekeza kwa kuwapa ajira na lengo lake wananchi wahudumiwe na kupitia ninyi Sekta ya kilimo ikakuze kipato chao, mkaitumie vizuri taaluma yenu kwa kutoa ushauri wa kitaalamu na kufuatilia matokeo yake, lakini pia mshirikishane  ninyi kwa ninyi katika kutoa huduma bora kwa wananchi ili waweze kulima kilimo chenye tija na kuwanufaisha"Alisema Mgoba

Aidha Mgoba aliipongeza Serikali kwa kuajiri watumishi wengi wa kada mbalimbali huku akizungumzia idara ya kilimo kuwa anaozungumza nao waliajiriwa 13 Mwezi Julai 2025 na kabla ya hapo idara ilikuwa na maafisa kilimo 93 walio chini ya halmashauri na Mhandisi wa Umwagiliaji 01aliye chini ya Tume ya Umwagiliaji hivyo ongezeko hilo la ajira mpya linapelekea wilaya kuwa na Jumla ya maafisa kilimo 106 waliopo wilayani Chato.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa  Idara ya utawala na usimamizi wa rasilimali watu wa  halmashauri ya wilaya hiyo Bi. Sarah Charles amewataka kufanya kazi kwa uadilifu, weledi na kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa Umma katika utekelezaji wa majukumu yao huku akiwasisitiza suala la mavazi ya kiutumishi.

Pamoja na yote pia walipata fursa ya kujifunza mifumo mbalimbali ya kiutumishi na ya kiutendaji kama vile PEPMIS (e _ Watumishi), M- KILIMO, ARDS, kusajili wakulima,pamoja na Upimaji  wa udongo,

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.