• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA MIFUGO WA GEITA MWANZA NA KAGERA

Posted on: March 29th, 2024

Serikali kupitia wizara ya mifugo na uvuvi leo machi 25, 2024 imetoa mafunzo rejea kwa maafisa ugani wa mifugo ngazi ya Vijiji na Kata wa

 mikoa ya Geita, Mwanza na Kagera (Kanda ya ziwa Magharibi) lengo likiwa ni kuendelea kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa majukumu pamoja na kutatua changamoto za wafugaji waliopo maeneo yao ya kazi.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Kaimu Mkuu wa Wilaya hiyo ambaye pia ni katibu Tawala wa Wilaya Mhe. Thomas Dime amewataka maafisa mifugo kutumia mafunzo waliyopata kuwaelimisha wafugaji namna ya kufuga kisasa, Lengo likiwa ni kuongeza uzalishaji wa mifugo na mazao yake ili kuleta mabadiliko kiuchumi katika jamii.

Naye Afisa Tawala Mkuu kutoka wizara ya mifugo na uvuvi Bw. John Kusaja amewasihi maafisa mifugo kujitathmini katika utendaji kazi kwa kuzingatia maadili ya kazi na kufuata, haki na wajibu wa mtumishi ili kupata matokeo mazuri kiutendaji hususani katika sekta ya Mifugo.

" Mtumishi wa umma unatakiwa kufanya kazi kwa kuhakikisha unafuata taratibu, sheria na kanuni kwa kuzisoma na kuzielewa ili kutambua haki zako hata unapozifuatilia ujue unachostahili na taratibu za kupata, wajibu ni kile ambacho mtu analazimika juu ya jambo fulani na haki ni jambo au kitu ambacho mtu anapaswa apate na lazima itimizwe ikiwa haijatimizwa inadaiwa" Alisema Kusaja

Mafunzo hayo yanaendelea kutolewa na timu ya wataalam kutoka wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Kanda ya ziwa Magharibi kuanzia machi 25, 2024 na kuhitimishwa Machi 26, 2024 huku mada mbalimbali zikiwasilishwa ili kuwaimarisha maafisa mifugo katika kuongeza na kujikumbusha utaalamu wao katika kutekeleza majukumu yao wakiwa kazini.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.