• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

Posted on: August 26th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Chato Kaskazini na Chato Kusini Ndg Abel Jonson  Manguya, amewakabidhi wagombea wawili Fomu za Uteuzi za kugombea Ubunge ambao ni Ndg Pascal Lucas Lutandula kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akigombea Jimbo la Chato Kusini na Ndg  Yohana Costantine Misungwi kupitia Chama cha ACT Wazalendo akigombea Jimbo la Chato Kaskazini.

Tukio hilo limefanyika Agosti 25, 2025 katika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Chato Kaskazini na Chato Kusini iliyopo katika jengo la Halmashauri hiyo.

Akizungumza wakati wa kuwakabidhi fomu hizo Ndg Manguya amewasihi wagombea wote kuzingatia na kufuata sheria na kanuni za Tume huru ya uchaguzi ikiwa ni6 sambamba na  kuhakikisha amani na utulivu vinakuwa sehemu ya mchakato mzima wa uchaguzi huo ili  kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa uhuru na haki kwani zoezi hilo ni la muhimu kwa Taifa letu.

Aidha Ndg Manguya ametanabaisha kuwa Ofisi yake ipo wazi kwa ajili ya kutoa huduma ya kuwapa wagombea Ubunge fomu za uteuzi kuanzia saa 1.30 Asubuhi hadi saa 10.00 Jioni lakini pia Ofisi za Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata zipo wazi kwa muda huo huo kuhakikisha wanatoa fomu kwa wagombea udiwani.

Zoezi la kutoa Fomu  kwa wagombea wa Ubunge na Udiwani lilianza rasmi Agosti 14, 2025 na kutarajiwa kutamatika Agosti 27 huku wagombea wakiaswa kufika kwa wasimamizi wa uchaguzi wakiwa na barua za utambulisho kutoka  vyama wanavyoviwakilisha ikiwa ni kwa mujibu wa utaratibu uliotolewa na INEC , ambapo kauli Mbiu ya Uchaguzi Mkuu kwa mwaka 2025 inasema; "Kura yako ni Haki yako Jitokeza kupiga Kura"

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • CMT YAFANYA ZIARA KUKAGUA UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA MAJOSHO

    August 28, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAPEWA MAELEKEZO MAALUMU KAMPENI YA CHANJO YA HOMA YA MAPAFU YA NG'OMBE

    August 28, 2025
  • WATUMISHI WAPYA IDARA YA KILIMO WAPEWA MAFUNDO NA MAZINGATIVU

    August 27, 2025
  • ZOEZI LA UCHUKUAJI FOMU ZA UBUNGE NA UDIWANI LINAENDELEA

    August 26, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.