• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

MIRADI YA KIMKAKATI YA HALMASHAURI

Start Date: 2019-01-01
End Date: 2020-03-01

Halmashauri ya Wilaya ya Chato katika mwaka wa fedha 2018/2019 kwenye vipaumbele vyake ilipanga kuanzisha miradi mipya ya kwa lengo la kuongeza kiwango chake cha mapato ya ndani ili kuweza lukidhi matarajio yake ya utoaji wa huduma kwa wananchi.

Kupitia maandiko mbalimbali yalipelekwa Ofisi ya Rais–TAMISEMI timu ya Menejimenti ya Halmashauri ili ainisha miradi kadhaa ikiwemo viwanda vikubwa na vya kati ili kuongeza uwezo wa Halmashauri kujitegemea kiichumi.

Miradi ambayo ilifanikiwa na kupata fedha ni kiwanda cha ufatuaji wa Matofali  kilichopo kijiji cha Muungano na Uchapishaji uliopo kijiji cha Kitela kata ya Chato.

Jumla ya fedha iliyotolewa kwa miradi hii miwili ilikuwa ni shilingi 305,712,110.

Kupitia miradi mipya hiyo ambayo  imeanza uzalishaji tangu mwezi Machi 2019 Halmashauri ya Wilaya ya Chato inaelekea kupata ufumbuzi wa tatizo la muda mrefu la utoshelevu wa mapato ya ndani ya Halmashauri.

Mwaka wa fedha 2017/2018 Halmashauri ikupia vyanzo vya ndani hadi kufikia mwezi Juni 2018 ilikusanya kiasi cha shilingi  1,956,905,535.45  sawa na 90.65% ya lengo la 2,158,800,000.

Kwa mwaka wa fedha 2018/2019 hadi kufikia tarehe 31 Machi 2019 Halmashauri kupitia vyanzo vya ndani imekusanya kiasi cha shilingi 1,572,278,292.09 Sawa na 69.36% ya lengo la shilingi 2,266,934,000.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato Eliurd Mwaiteleke amesema kuanza kwa miradi hiyo ni dalili ya kwamba kwa mwaka 2018/2019 mapato yatakuwa ni zaidi ya asilimia 100.

“Pamoja na vyanzo vingine vya Halmashauri lakini kupitia miradi hii ya kimakakati tunatarajia makusanyo yetu ya ndani yatakuwa ni zaidi ya mwaka uliopita kwa kiwango kikubwa tu” alisema Mkurugenzi  Mtendaji.

Kwa mujibu wa meneja wa kiwanda cha matofali George Philipo amesema tofali moja la nchi 6  kwa (uwiano wa mfuko mmoja tofali 40) kwa  bei ya kiwandani linauzwa shilingi 1100/=.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.