• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

JINSI YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

IJUE LESENI YA BIASHARA

Leseni ya biashara ni kibali ambacho hutolewa na mamlaka husika kwa mfanyabiashara au mtoa huduma.

Leseni za biashara hutolewa na wakala wa usajili wa biashara na leseni (brela), halmashauri za manispaa, halmashauri za majiji, halmashauri za miji na halmashauri za wilaya kwa kuzingatia kundi la leseni inayotolewa.

Leseni za biashara zimegawanyika katika makundi mawili A na B.

katika kundi A kuna biashara ambazo leseni zake hutolewa na wakala wa biashara na leseni (brela).kundi hili ni leseni  zenye mtaji mkubwa  zinazojumuisha leseni za uuzaji wa bidhaa nje ya nchi, huduma za mawasiliano, bandari, vilabu vya usiku, sonara, uchimbaji madini, uuzaji na usambazaji silaha, vyombo vya habari, hoteli za kitalii, huduma za kifedha, taasis za kifedha na mitaji,bima n.k

katika kundi B ni leseni zinazotolewa na halmashauri za manispaa, halmashauri za majiji, halmashauri za miji na halmashauri za wilaya. Katika kundi  A kuna biashara za viwanda vidogo, hoteli zisizo za kitalii, vyama vya ushirika, makumpuni ya ujenzi, taaluma muhimu, zahanati, maduka ya dawa muhimu za binadamu, pembejeo za kilimo, migahawa,kalakana, uandishi wa vitabu na magazeti, vituo vya mafuta, spea mbalimbali, shule za binafsi, minada, pembejeo za kilimo, wahandisi wa umeme, maduka ya kuuza bidhaa kwa jumla na reja reja n.k

Biashara za kundi B leseni zake hutolewa na halmashauri ya eneo husika ambapo biashara inafanyika

Utoaji wa leseni za biashara unazingatia kifungu cha 11(1) cha sheria ya leseni za biashara namba 25 ya mwaka 1972 na marekebisho yake

Gharama za leseni hubadilika mara kwa mara kulingana na inavyopendekezwa na mamlakahusika.

Kufanya biashara bila leseni ni kosa kisheria hivyo ni vyema kuchukua hatua za kurasimisha biashara yako kisheria

Maombi ya leseni ya biashara

Ili kupata leseni ya biashara muombaji:-

  • Kujaza fomu ya maombi ya biashara ambayo hupatikana katika halmashauri husika
  • Kuhakikisha nyaraka zote muhimu zinazohitajika ili kuweza kupata leseni yako mapema. Nyaraka hizo ni kama vile
  •  -hati ya utakaso wa mlipa kodi (tax clearance certificate) kutoka TRA
  • -cheti cha usajili wa kampuni, katiba ya kampuni. (kwa leseni za   
  •   makumpuni)
  • -mkataba wa kodi ya pango kama sehemu ya biashara umepanga
  • -namba ya utambulisho wa mlipa kodi (TIN)
  • -vyeti kutoka katika mamlaka husika kama TCRA(kwa leseni za mawasiliano),TFDA na TBS (kwa  vyakula na dawa), EWURA (kwa uagizaji na usambazaji mafuta)

Nyaraka zote zinazo hitajika ziambatanishwe pamoja na fomu ya maombi

  • Baada ya kukamilisha nyaraka zote mteja atapewa bili (invoice)kulingana na aina ya biashara yake na kwenda kulipia benki
  • Mchakato hukamilishwa kwa mteja kuchukua leseni yake na kupewa maelezo/ elimu ya uendeshaji biashara

Kumbuka

  • leseni ya biashara hulipwa kila baada ya mwaka mmoja toka siku imelipiwa.
  • Leseni ya biashara lazima itumike kwa biashara na mahali ilipoombwa tu
  • Mfanyabiashara mmoja anaweza kuwa na leseni zaidi ya moja kulingana na idadi ya biashara alizonazo
  • Viwango vya kulipia leseni ya biashara unaweza kuvipata mtandaoni kwa kutafuta sheria ya fedha na 2 ya mwaka 2014 (finance Act no. 2 of 2014)

Matangazo

  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA SABA CHATO WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI MAENEO YA BIASHARA STENDI MPYA KAHUMO January 20, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 03, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • "NENDENI MKAWASAIDIE WAKULIMA WALIME KILIMO CHENYE TIJA WAACHANE NA KILIMO CHA MAZOEA" DC CHATO

    March 21, 2023
  • STENDI YA CHATO INAFANYA KAZI ACHENI UPOTOSHAJI

    March 16, 2023
  • SHAMLA SHAMLA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HALMASHAURI YA CHATO ZAPAMBWA NA UTOAJI WA MIKOPO YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 107 KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 08, 2023
  • "NENDENI MKATUMIE PIKIPIKI HIZI KWA KAZI ZA SERIKALI NASI VINGINEVYO" DED CHATO

    March 02, 2023
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.