• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO KIMAENDELEO INA KUA KWA KASI KUBWA

Posted on: December 9th, 2022

Mhe Mkuu wa wilaya ya Chato Bi. Martha Mkupasi amewaambia washiriki wa Kongamano la Kusheherekea Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Uhuru lililofanyika 9 Disemba 2022 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Jikomboe  kuwa maendelo ya Chato kabla na baada ya kuundwa rasmi yanakwenda kwa kasi ya hali ya juu.


Jambo ambalo sisi kama watanzania wengine nchi tunapoadhimisha Sherehe hiz I za Uhuru hatuna budi kujipongeza lakini pia kumshukuru Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo sisi kama wanachato amekuwa akituletea fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo, amesema ‘kwa mfano katika kipindi cha mwaka huu wa fedha sisi kama wilaya tumepokea zaidi ya bilioni 40 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo’


Fedha hizo zimekwenda katika kutekeleza miradi ya Elimu, Maji, Afya na katika Mindombinu ya Barabara ambapo mpaka sasa kwa mwaka huu wa fedha tulikuwa na ujenzi wa madarasa 185 amabyo yanagharimu Zaidi ya biliono 3.7 ambayo yamekwisha kukamilika kwa zaidi ya asilimia 90 na yanasubiria kupokea wanafunzi wapya wa Kidato cha Kwanza mapema mwakani 2023


Lakini pia ndugu zangu wanachato sisi kama watanzania wengine tunamengi ya kujivunia na kujipongeza kwani upekee sana wilaya yetu imebarikiwa kuwa na miradi mikubwa ambayo imetekelezwa na inaendelea kutekelezwa jambo ambalo hata maeneo mengine kama uwepo wa Uwanja wa Ndege wenye hadhi ya Kimataifa, Hospitali ya Rufaa ya Kanda, Chuo cha VETA na Barabara za Lami katika mitaa yetu.


Nae Katibu Tawala wilaya Ndg. amewashukuru wananchi wote kwa kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya sherehe za Uhuru mwaka 2022 ambazo kwa mwaka huu tumesheherekea kwa kushiriki katika shughuli za kijamii ambazo ni Upandaji wa Miti katika shule ya Msingi Katemi iliyopo kijiji cha Mlimani kata ya Chato, Usafi wa Mazingira katika Soko la Jioni kijiji cha Mkuyuni Kata ya Muungano, Bonanza la Michezo katika viwanja vya Hayati Magufuli na leo tunahitimisha hapa katika viwanja vya Shule ya Sekondari Jikomboe kwa Mdahalo tukifafakari wapi tumetoka na nini kimefanyika ndani ya miaka 61 ya Uhuru.


Akitoa mada Kuhusu Historian a mafanikio tuliyopata tangu tupate Uhuru Mzee Samwel Bigambo ambaye ni mkazi wa Chato amewaasa vijana kuwa mafanikio yote haya tunayoyaona kama hatuta Linda na kutunza Amani ya Nchi yetu basi mafanikio haya tunayojivunia itakuwa ni kazi bure kwani Maendeleo na Amani vinakwenda sambamba kimoja kikikosekana basi kingine hakiwezi kupatikana.  


Akihitimisha Kongamano hilo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato Bw. Mandia Kihiyo amewataka wananchi kila mmoja kuwa mlinzi wa miradi ambayo inatekelzwa pamoja na rasilimali zilizopo kwani uharibifu unapotokea basi kama wilaya tunakuwa tumerudi nyuma.


Pia Mandia amewakumbusha vijana falsafa ya uwajibikaji na kujitegemea ili kujiletea maendelo yao wenyewe kama ambavyo Mama Mhe Dkt. Samia amekuwa akisema kila mmoja afanye kazi chini ya kauli mbiu ‘Kazi Iendelee’ 

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.