• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO YAADHIMISHA SIKU YA USAFI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: September 20th, 2024

Maadhimisho hayo yamefanyika katika Kata ya Bwanga katika Kijiji cha Bwanga ambapo viongozi, watumishi wa umma toka taasisi mbalimbali pamoja na wananchi katika maeneo hayo wameshiriki kufanya usafi.

Akizungumza kwa nyakati tofauti na wakazi wa maeneo ya Bwanga Bi. Fransisca Charles ambaye ni Afisa Afya wilaya amesisitiza wananchi kulinda na kutunza Usafi wa Mazingira kuzunguka maeneo yao ya makazi na biashara kwani kwa kufanya hivyo sote kwa pamoja tutakuwa tumejikinga dhidi ya magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Chato Ndg. Geraid Mgoba pamoja na kusisitiza wananchi kujenga tamaduni za kutunza Usafi wa Mazingira yao, huku akiiwakumbisha kuwa kama wilaya tunatarajia kupokea Mwenge wa Uhuru 30 Septemba, 2024 hivyo basi, Usafi ukawe ni jambo Endelevu"

Pia amewataka wananchi wa maeneo ya Bwanga na viunga vyake kuchanagamkia fursa ya kuchukua vibanda katika Standi mpya ya Bwanga kwani kwa kufanya hivyo tutakuza uchumi na ustawi wa maisha yetu ya kila siku, kuliko kusubiri watu kutoka nje ya maeneo yetu.

Akihitimisha Maadhimisho hayo Mhe. Mkuu wa wilaya ya Chato Ndg. Lous P. Bura ambaye aliwakilishwa na Ndg. Alexander Msisiri amewashukuru wananchi wa Kata ya Bwanga pamoja na vitomgoji vyake kwa namna ambavyo wamejitokeza katika kufanya usafi wa Mazingira kwani kitendo hicho tu ni ishara ya uzalendo kwa nchi kwa Taifa letu kwa ujumla.

Aidha amewataka wananchi kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwani uchaguzi huo ndo Msingi wa chaguzi za Viongozi katika Serikali na maeneo yetu ya Utawala toka ngazi ya kitongoji na Kijiji.

Mwisho amewataka wananchi kijitokeza kwa wingi katika uboreshaji wa daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa litakaloanza kuanzia tarehe 11 hadi 20 Oktoba, 2024 kwani bila kufanya, hutaweza kuchagua kiongozi, kwani Kitambulisho cha Mpiga kura hakitatumika mpaka Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais 2025

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.