• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

CHATO YASHIRIKI KIKAMILIFU SIKU YA USAFISHAJI DUNIANI

Posted on: September 20th, 2025


Halmashauri ya Wilaya ya Chato ikiungana na Taasisi Binafsi na za Umma, wakazi wa eneo husika na wadau wengine wameungana na maeneo mengine duniani kuadhimisha siku ya Usafishaji Duniani ambayo hufanyika Sept 20 kila mwaka, kwa kufanya usafi wa kufagia,kuzibua mitaro iliyoziba pamoja na kukwetua nyasi ikiwa ni katika harakati za kutunza mazingira lakini pia kuboresha afya.

Maadhimisho hayo kiwilaya yamefanyika kijiji cha Mkombozi, Kata ya Muganza leo Septemba 20, 2025,  yakiongozwa na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi. Fransisca Charles ambaye ndiye Afisa afya wa Wilaya,  amesema usafi una umuhimu mkubwa katika maisha ya kila siku, usafi ni afya na ukitunza mazingira yatàkutunza kwa kukuepusha na maradhi, utakuwa na afya njema, ametoa wito kwa kila mmoja kufanya usafi ni wajibu wake na zoezi endelevu katika maeneo yanayomzunguka ili kuipa afya yake kipaumbele.

Bi. Fransisca amewapongeza walioshiriki kikamilifu zoezi hilo muhimu, hususani TARURA,CHAWASA, RUWASA,BENKI YA POSTA,Jeshi la Polisi na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato kwa ushirikiano mkubwa,watumishi wote walioshiriki pamoja na wananchi wa eneo husika, ametoa  angalizo a yeyote atakayebainika anatupa taka hovyo hususani kwenye vyanzo vya maji amesema sheria zipo zitatumika dhidi yake kwani kufanya hivyo ni kuhatarisha usalama wa maji ambayo tunayatumia sisi wenyewe,madhara yake ni kupata magonjwa ya milipuko  hivyo kila mmoja anatakiwa kuwa mlinzi wa mwenzie

"Hongereni sana kwa kazi nzuri yenye maslahi mapana kwa afya zetu,niwapongeze wote mlioshiriki kikamilifu, Taasisi zote mliofika hakika mmewakilisha vema Taasisi zenu,watumishi wote pamoja na wenyeji wetu katika eneo hili hakika kazi imeonekana,tuhakikishe zoezi la usafi linakuwa endelevu, mazingira yakiwa safi na afya zitakuwa safi.Ndg.Zangu leo Mgeni wetu rasmi  alipaswa kuwa Mhe.Mkuu wa Wilaya yetu na alitamani sana kuja kuonana nanyi, lakini kutokana na dharula iliyo nje ya uwezo ameshindwa kufika lakini anatambua mchango wenu mkubwa katika kufanikisha zoezi hili muhimu anawapongeza sana" Alisema Bi. Fransisca

 KAULI MBIU: “Tunza Mazingira kwa Kuzipa Taka thamani”

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • KAMATI YA HUDUMA YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA VIKUNDI

    October 01, 2025
  • DC BURA AFUNGUA ZAHANATI YA NYARUTUTU

    September 30, 2025
  • MHE. BURA AAGIZA UWEZESHAJI KWA WAJASIRIAMALI ILI KUSHINDANA KIMATAIFA

    September 25, 2025
  • KAMISHNA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MAANDALIZI YA UCHAGUZI - CHATO

    September 22, 2025
  • View All

Video

MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025 WILAYANI CHATO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.