• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

HALMASHAURI ZAAGIZWA KUTENGA FEDHA ZA UPANDAJI MITI

Posted on: April 1st, 2019

Serikali mkoani Geita imeziagiza Halmashauri zote mkoani humo kutenga fedha kwa ajili ya upandaji wa miti katika maeneo mbalimbali ya Wilaya hizo.

 Agizo hilo limetolewa leo na Katibu Tawala Wilaya Chato Bwana Elias Makory kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Geita kwenye maadhimisho ya siku ya kitaifa ya upandaji miti ambayo kimkoa yamefanyika Wilayani Chato kata ya Bwanga na kwenda sambamba na zoezi la upandaji wa miti katika eneo la ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Nyarututu.

Bwana Makory amesema kila Wilaya kwa mwaka inatakiwa kupanda angalau miti milioni moja na nusu ambapo amesititiza Halmashauri kutenga fedha kwa ajili ya zoezi hilo.

Katika hatua nyingine Bwana Makory amewaonya wananchi wanaovamia hifadhi za misitu na kufanya shughuli za kilimo, ufugaji pamoja na uchimbaji wa madini ndani ya hifadhi bila kibali cha wakala wa Misitu Tanzania (TFS) kwani wamekuwa wakiharibu mazingira ya  hifadhi hizo na kukwamisha jitihada zinazofanywa na TFS za upandaji wa miti.

Meneja wa wa shamba la Miti la Bihalamulo Bwana Thadeo Shilima amesema kutokana na uharibifu mkubwa wa  shughuli za kibinadamu katika hifadhi ya msitu wa Biharamulo Kahama hususan katika eneo la Chato serikali iliamua kuanzisha  rasmi shamba hili mwaka 2017/2018 ambalo ni la pili kwa ukubwa Tanzania likiwa na ukubwa wa hekta 69,758 baada ya lile la Sao Hill lililopo mkoani Iringa.

Amesema tangu kuanzishwa kwa shamba hilo hadi sasa wameshapanda miti kwenye eneo la ukubwa wa hekta 522 sawa na miti 579,942 sawa na asilimia moja ya eneo lote la shamba.

Bwana Shilima amesema baada ya miti kukua wanatarajia malighafi zitakazopatikana zitatumika katika viwanda vya kuzalisha karatasi na nguzo za umeme ambapo na tangu kunzishwa kwake jumla ya ajira za muda 600 zimeshatolewa kwa wananchi wanaozunguka shamba hilo pamoja na uanzishaji wa bustani yenye miche zaidi ya 900,000.

Kauli mbiu ya maadhimisho haya ni “Tanzania ya Viwanda inawezekana, panda miti kwa maendeleo ya Viwanda”.

Meneja wa shamba la miti la Biharamulo Bwana Thadeo Shilima (aliyeshika simu mkononi) akifafanua jambokuhusu aina ya miti  kwa mgeni rasmi na wageni wengine wengine walio tembelea shambani hapo

Katibu Tawala Wilaya ya Chato Bwana Elias Makory akipanda mti kwenye eneo la ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyarututu

Katibu wa CCM Mkoa wa Geita Bwana Clemence Mkondya akipanda mti kwenye eneo la ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyarututu



Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • MSINGI WA MAENDELEO NI LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

    April 26, 2025
  • WADAU CHATO WATHIBITISHA MCHAKATO WA KUGAWANYA JIMBO UMEFATA TARATIBU ZOTE ZA VIKAO MBELE YA TUME HURU YA UCHAGUZI

    May 24, 2025
  • MILIONI 431.2 ZAWAGUSA WANANCHI SEKTA YA MAJI CHATO

    April 16, 2025
  • WANANCHI WA KINSABE WAISHUKURU RUWASA UPATIKANAJI WA MAJI SAFI YA BOMBA

    April 16, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.