• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) YAJIPANGA KUHAKIKISHA WANANACHI HAWAPATWI NA UGONJWA WA MARBURG CHATO

Posted on: January 29th, 2025


Lengo la Kikao: Kikao hicho kilifanyika ili kuimarisha mikakati ya kukabiliana na ugonjwa wa Marburg na magonjwa mengine ya mlipuko, pamoja na kutoa elimu kwa jamii kuhusu hatua za kujikinga.

Washiriki: Kikao kilihusisha viongozi wa serikali, wataalamu wa afya, na wajumbe kutoka jamii mbalimbali, pamoja na wadau wa afya kutoka ndani ya wilaya

Elimu na Ufahamu: Katika kikao, washiriki walipatiwa mafunzo kuhusu dalili za ugonjwa wa Marburg, njia za maambukizi, na hatua za kukabiliana na ugonjwa huo. Mambo kama usafi binafsi, ufuatiliaji wa afya, na umuhimu wa kupata matibabu ya haraka kwa magonjwa nyemelezi kama Homa Kali, Kutapika na mengineyo.

Mikakati ya Kuzuia: Walijadili mikakati mbalimbali ya kuzuia kuenea kwa virusi vya Marburg, ikiwa ni pamoja na uhamasishaji wa jamii, kuimarisha mifumo ya afya, na ufuatiliaji wa wagonjwa kwa ukaribu zaidi, ikiwa ni sambamba na kuhakikisha jamii inaweka vitakasa mikono mda wote katika makazi na katika sehemu za taasisi za umma.

Ushirikiano wa Kisayansi: Kikao hiki pia kilihusisha mipango ya kushirikiana na taasisi za kitaifa katika tafiti za kiafya kuhusu magonjwa ya mlipuko, ili kuboresha ufanisi katika kukabiliana na changamoto hizo.

Mafunzo ya Vitendo: Ili kuhakikisha kwamba maelezo na mikakati iliyoanzishwa yanatekelezwa kwa ufanisi, washiriki walipata mafunzo ya vitendo kuhusu jinsi ya kutoa huduma za afya na jinsi ya kuzingatia protokali za afya.

Tathmini ya Hatari*: lakini pia Kikao kilikuwa na lengo la kufanya  kutathmini juu ya hatari inayoweza kutokea ikiwa jitihada za maksudi hazitofanyika ikiwa ni pamoja na kupoteza nguvu kazi katika nchi  yetu kutokana na vifo kwani ugonjwa huu hauna tiba.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • DC BURA AKABIDHI PIKIPIKI 8 KWA MAAFISA MIFUGO

    June 24, 2025
  • CMT YATEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.9

    May 29, 2025
  • NENDENI MKATANGAZE MIRADI NA SHUGHULI ZINAZOFANYWA SERIKALI, MHE. MCHENGELWA

    May 23, 2025
  • MAKAMPUNI 12 KUNUNUA ZAO LA PAMBA CHATO

    May 15, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.