• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Malalamiko |
    • Staff Mail |
Chato District Council
Chato District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofis ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Kilimo
      • Eduction
        • Primary
        • Secondary
      • Fedha
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Water
      • Works
      • Afya
      • Ardhi, na Maliasili
    • Vitengo
      • Procurement
      • ICT
      • Internal Audit
      • Legal
    • Muundo wa Utawala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Uchimbaji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Vivutio Vya Utalii
  • Huduma Zetu
    • Health Service
    • Education Service
    • Water Service
    • Agriculture Activities
    • Livestock Activities
    • Fisheries Activities
  • Councilors
    • Councilors List
    • Standing Committee
      • Finance, Planning & Administration
      • Education, Health & Water
      • Environment, Works & Economic
      • HIV/AIDS Control
      • Ethics
    • Schedule
      • Councilors Meting Schedule
      • Meet with Councilor
  • Miradi
    • Planned Projects
    • Miradi inayoendelea Kutekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Repoti
    • By Law
    • Fomu
    • Strategic Plan
    • Huduma ya Mkataba kwa Mteja
    • News Paper
  • Kituo vya Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha
    • Matukio
      • Habari

KAMATI YA SIASA MKOA WA GEITA YAKOSHWA UBORA WA MIRADI YA MAENDELEO - CHATO

Posted on: August 24th, 2023

Kamati ya siasa mkoa wa Geita ikiongozwa na Mhe. Mwenyekiti wake  Nicholaus Kasindamila, 24 Agosti 2023 ilitembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo ya Wilaya ya Chato iliyogharimu kiasi Cha Tshs 3,189,792,774.97 na kukiri kufurahishwa nayo, ikiwa ni zoezi la ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) 2020/2025.


Miradi iliyotembelewa na gharama zake ni; ujenzi wa sekondari mpya Mkungo 811,295,774.37, shule ya msingi Nyakato 'B' (Chabula)348,500,000/=, mradi wa maji safi Buzirayombo 38,000,000,000/= , Kituo cha afya katende 500,000,000/=, barabara ya Chato Gineri - Bwina km 8 kiwango Cha lami nyepesi 1,447,997,000/= na barabara ya Paradise - mlimani urefu wa 0.7 kiwango Cha lami nyepesi 500,000,000/=

 Licha ya Mhe. Kasindamila  kufurahishwa na ubora wa miradi waliyotembelea pis alitoa ushauri Kwa wahandisi na wataalam wengine kuwa karibu na miradi Kwa  kutoa ushauri pindi inapoanza kuliko kusubiri iharibike  kuitia hasara serikali wakati lengo ni kutoa huduma bora Kwa wananchi na kuzingatia  thamani ya fedha katika mradi (value for money).

Hata hivyo Afisa Mazingira idara ya maji Chato Bi Jester Salim Eliwed akisoma taarifa ya mradi alisema mradi wa maji safi wa miji 28 - mji wa Chato, utatekelezwa Kwa miezi 32 ambapo ulianza April - 2023 na unategemewa kukamilika Desemba - 2025 na utahudumia wakazi 185,333 kutoka kata 10 na vijiji 29 vya Wilaya ya Chato na Kijiji kimoja kutoka Wilaya ya  Biharamulo.

Aidha, Bi Jester Alizitaja kata na vijiji vitakavyonufaika na mradi ni Kata ya Bukome vijiji vya- Nyabilezi, Bukome, Buzirayombo, Katale,Mkungo na Nyakato,  Kata ya Nyamirembe ni  Kijiji Cha Nyakakarango, kata ya Bwina vijiji vya -  Murumba, Bwina, na Mbuye, kata ya Chato  vijiji vya Mkuyuni, Chato, Kitela na msilale, Kata ya Muungano vijiji vya Muungano, Itale, Rubambangwe,Mlimani na Kahumo, Kata ya Ilemela vijiji vya- Nyambogo, Ilemela, Kanyama, Nyangomango, Kata ya Katende ni vijiji vya- Chabulongo, Katende, Ng'hwabaluhi na kijiji Cha  Nyamigogo kutoka Wilaya ya Biharamulo.

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe. Mhandisi Deusdedith Katwale alifafanua kuwa barabara ya Chato Gineri - Bwina inajengwa Kwa awamu, ambapo awamu ya kwanza Km1 ilijengwa 2019/2020 ilikamilika kiwango Cha lami na inatumika, kwasasa ujenzi unaendelea Ili kukamilisha Km zilizopangwa.

Mhe. Katwale aliongeza kuwa, Kwa niaba ya wananchi wa Chato anamshukuru saana Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa barabara ya  kuelekea katika makumbusho ya Hayati Rais John Pombe Magufuli (Paradise - Mlimani) ambayo inajengwa Kwa urefu wa 0.7 KM kupitia mfuko wa Jimbo kiasi Cha Tshs 500,000,000/= wakati urefu mwingine wa 0.7 utaendelea kutekelezwa Kwa kadri fedha itakapo patikana ikiwa ni kukamilisha urefu wa 1.4 Km.

Matangazo

  • MATOKEO YA UDEREVA CHATO DC September 27, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHATO DC September 20, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO May 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI CHATO July 19, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • JIMBO LA CHATO LAGAWANYWA RASMI

    May 12, 2025
  • CHATO TECHNICAL YAPONGEZWA

    May 09, 2025
  • WATAHINIWA 2234 WA KIDATO CHA SITA KUANZA MTIHANI MEI 5 WILAYANI CHATO

    May 04, 2025
  • UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI

    May 01, 2025
  • View All

Video

MHE. NDEJEMBI AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUWA NA NIDHAMU NA KUTIMIZA WAJIBU KWA WELEDI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • HOTUBA YA BAJETI TAMISEMI 2019
  • Mwongozo wa Matumizi Bora na Salama wa Vifaa vya TEHAMA
  • MWONGOZO WA KUSIMAMIA NA KUENDESHA TOVUTI ZA SERIKALI
  • MWONGOZO WA OPRAS
  • TAARIFA KWA UMMA UFUNGUZI WA JENGO JIPYA JIPYA CRDB

Tovuti Linganifu

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais- TAMISEMI
  • eMrejesho - Malalamiko/taarifa yeyote kutoka kwa wananchi,Watumishi wa Umma/Wastaafu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Ofisi ya Rais- Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    MKURUGENZI MTENDAJI

    Postal Address: 116 CHATO

    Telephone: +255282228007

    Mobile:

    Barua pepe: ded@chatodc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Malalamiko
    • map
    • Service

Copyright©2016 CDC . All rights reserved.